-
Watu 7 wauawa na 20 wajeruhiwa Jamhburi ya Afrika ya Kati
Nov 13, 2017 11:52Habari kutoka Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) zinasema kuwa watu saba wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya kutokea shambulizi la guruneti katika eneo la starehe na katika machafuko ya ulipizaji kisasi siku mbili mfululizo mjini humo.
-
Ulimwengu wa Spoti, Nov 13
Nov 13, 2017 04:01Hujambo mpenzi msikilizaji wa RT na hususan ashiki wa spoti na karibu tutupie jicho matukio mawili matatu ya michezo yaliyogonga vichwa vya habari ndani na nje ya nchi katika kipindi cha siku saba zilizopita, karibu..
-
Ombi la kutaka Afrika itengewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama
Nov 12, 2017 09:45Mwakilishi wa Algeria katika Umoja wa Mataifa, ametoa mwito wa kufanyika marekebisho katika muundo wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutengewa Afrika viti viwili vya kudumu kkatika baraza hilo.
-
Marekani yakosolewa kwa kuzidi kujikita kijeshi barani Afrika
Nov 05, 2017 04:37Kundi linalopinga vita liitwalo "Kituo cha Uchukuaji Hatua Kimataifa" limetangaza kuwa kuongezeka harakati na uwepo wa kijeshi wa Marekani katika bara la Afrika hakuna uhusiano wowote na mapambano dhidi ya ugaidi.
-
RSF: Waandishi habari wanakandamizwa katika nchi za Afrika
Nov 02, 2017 14:09Shirika la Maripota Wasio na Mpaka (RSF) limetahadharisha kuhusu hali ya mbaya ya waandishi habari katika baadhi ya nchi za Afrika.
-
Kongamano la kiuchumi na uwekezaji baina ya Iran na Afrika kuanza leo Tehran
Oct 28, 2017 23:35Kongamano la kiuchumi na uwekezaji baina ya Iran na Afrika linafanyika leo mjini Tehran huku zaidi ya washiriki 600 wakitazamiwa kuhudhuria kutoka sekta binafsi za pande mbili. Aidha maafisa wa serikali za Afrika na Iran watahudhuria kongamano hilo.
-
Safari ya balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa barani Afrika
Oct 24, 2017 11:44Nikki Haley, balozi na mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa anafanya safari barani Afrika akiwa mjumbe maalumu wa Rais Donald Trump anayeuongoza ujumbe wa nchi yake
-
Dunford: Marekani imeazimia kujiimarisha zaidi kijeshi barani Afrika
Oct 24, 2017 04:03Mkuu wa Jeshi la Marekani amesema kuwa, nchi yake ina nia ya kujiimarisha kabisa kijeshi barani Afrika.
-
UNICEF yatahadharisha kuhusu kuendelea ndoa za watoto wadogo barani Afrika
Oct 24, 2017 04:01Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetahadharisha kuhusu madhara ya kuendelea kuozeshwa watoto wadogo barani Afrika.
-
Sisitizo la kuimarishwa kikosi cha kijeshi cha kundi la 5 la nchi za Sahel kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Oct 24, 2017 01:03Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimesisitiza kuimarishwa zaidii kikosi cha wanajeshi wa nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika kwa jina la G-5 ili kutekeleza oparesheni za kupambana na ugaidi katika eneo hilo.