-
Vyama 32 vya siasa barani Afrika vyakutana mjini Khartoum, Sudan
Aug 20, 2017 12:12Wawakilishi wa vyama 32 vya siasa vya nchi za Afrika wamekutana katika mji mkuu wa Sudan Khartoum kujadili njia za kustawisha uhusiano wa kisiasa barani humo.
-
Jitihada za utawala wa Kizayuni za kuwa na ushawishi mkubwa barani Afrika
Aug 16, 2017 22:07Utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya jitihada ili uwe na ushawishi kwa kuimarisha uhusiano wake na nchi za bara la Afrika kwa lengo la kujiondoa katika hali ya kutengwa. Katika uga huo, viongozi wa Tel Aviv wamepanga kuitisha mkutano mwezi Oktoba nchini Togo chini ya anuani "Kikao cha Viongozi wa Kiafrika na Israel."
-
Zaidi ya watu 300 wameaga dunia baada ya kufukiwa na maporomoko ya udongo Sierra Leone
Aug 14, 2017 07:44Wwatu wasiopungua 312 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 2000 wamebaki bila ya makazi kutokana na maporomoko ya udongo yaliyotokea nje kidogo ya mji mkuu wa Sierra Leone.
-
FAO: Njaa inatishia eneo la mashariki mwa Afrika
Aug 14, 2017 07:46Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha kuhusu ongezeko la vifo vya watu kutokana na ukame na njaa katika maeneo ya mashariki mwa Afrika.
-
Mtawa wa India aokoa wanawake wa Kiafrika kutoka kwenye utumwa wa ngono
Aug 10, 2017 02:37Mtawa wa India aliyeokoa wanawake wa Cameroon kutoka kwenye utumwa wa ngono katika eneo la Mashariki ya Kati ametoa wito wa kutolewa misaada kwa wahanga hao ili kusaidia mchakato wa kuwarejesha kwenye hali ya kawaida na kuwaondoa kwenye mfadhaiko wa kinafsi uliosababishwa na manyanyaso ya aina mbalimbali kama ya kubakwa, kunajisiwa na kushikiliwa mateka.
-
Kiongozi wa chama cha upinzani Zambia atiwa nguvuni
Aug 04, 2017 00:01Polisi ya Zambia imemkamata kiongozi wa upinzani wa nchini humo, Saviour Chishimba kwa tuhuma ya kumtukana Rais Edgar Lungu, kosa ambalo adhabu yake inawezeka kufikia kifungo cha miaka mitano jela.
-
Ulimwengu wa Spoti, Julai 31
Jul 31, 2017 03:46Hujambo mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari katika ulimwengu wa spoti, kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita, karibu.....
-
Makubaliano kuhusu njia za kukabiliana na wahajiri haramu wa Afrika
Jul 25, 2017 22:36Katika kuendelea kukabiliana na wahajiri haramu, wawakilishi wa nchi 10 za Kiafrika, Ulaya na asasi nne za kieneo wamekubaliana kuhusu njia za kukabiliana na wahajiri hao haramu kupitia Bahari ya Mediterania na kuimarisha ushirikiano ili kuwazuia wahajiri hao.
-
FAO yatahadharisha kuhusu kuongezeka haja ya misaada ya dharura mashariki mwa Afrika
Jul 24, 2017 02:34Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha katika ripoti yake kuwa kuna ongezeko la kutia wasiwasi la watu wanaohitaji misaada ya haraka ya kibinadamu katika nchi za mashariki mwa Afrika.
-
Ulimwengu wa Spoti, Julai 24
Jul 24, 2017 02:09Ufuatao ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....