-
UNICEF: Maradhi ya ukimwi yangali ni tishio duniani
May 07, 2017 08:56Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetangaza kuwa, bado maradhi ya ukimwi yangali ni tishio ulimwenguni.
-
Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi
Apr 27, 2017 23:14Watalaamu kutoka nchi 10 za magharibi mwa Afrika wamekutana katika mji mkuu wa Togo, Lome na kujadili namna ya kupambana na tatizo la ugaidi pamoja na njia za kuboresha usalama na amani katika ndege za abiria.
-
Baadhi ya marais wa Afrika hawataki Machar arejee Sudan Kusini
Apr 27, 2017 03:32Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema baadhi ya nchi za kanda ya Afrika Mashariki pamoja na Afrika Kusini haziungi mkono wazo la kurejea mjini Juba, kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini, Riek Machar.
-
Alkhamisi 27 Aprili, 2017
Apr 26, 2017 22:08Leo ni Alkhamisi tarehe 29 Rajab 1438 Hijria sawa na 27 Aprili, 2017.
-
Mahakama ya Zambia yaamua kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani iendelee
Apr 26, 2017 08:38Mahakama ya Zambia imeamua kuwa kesi ya uhaini inayomkablia kiongozi wa upinzani Hakainde Hichilema iendelee huku malumbano ya kisiasa yakitokota katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
Chanjo ya kwanza ya kinga ya homa ya Malaria kufanyiwa majaribio barani Afrika
Apr 24, 2017 10:36Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza leo kuwa chanjo ya kwanza ya kinga ya ugonjwa hatari wa homa ya malaria itafanyiwa majaribio katika bara la Afrika.
-
Ulimwengu wa Spoti, Apr 24
Apr 24, 2017 05:30Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri wiki hii ndani na nje ya nchi....
-
Kuanza maneva ya "Simba wa Afrika" nchini Morocco
Apr 22, 2017 07:23Maneva ya kijeshi yaliyopewa jina la "Simba wa Afrika" yameanza katika nchi ya Kiafrika ya Morocco yakishirikisha askari wa Jeshi la Majini la Marekani na wanajeshi 1300 kutoka nchi nyinginen 11.
-
Benki ya Dunia ina matumaini na ustawi wa kiuchumi Afrika
Apr 21, 2017 02:12Benki ya dunia inasema kasi ya ukuaji wa uchumi barani Afrika inaridhisha mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo uchumi wa bara hilo uliporomoka kwa kiwango kikubwa zaidi katika kipindi cha miongo miwili.
-
Ulimwengu wa Spoti, Apr 17
Apr 17, 2017 02:31Karibu tukupashe kwa kina bingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran, matokeo ya Kombe la CAF na msimamo wa Ligi Kuu ya Soka Uingereza........