-
SAUTI: Vijana Rwanda watakiwa kujihadhari na ukoloni mamboleo
Apr 16, 2017 03:12Serikali ya Rwanda imewataka raia wake hasa vijana kutambua hila na njama za ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za kigeni hasa zile za Magharibi. Kwa upande wa vijana wakati huu ni ule wa kuzipenda nchi zao za Kiafrika na kuepuka kufikiria nchi zilizoendelea. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.
-
Ulimwengu wa Spoti, Apr 10
Apr 10, 2017 03:35Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti ndani ya siku saba zilizopita, kiaifa na kimataifa......
-
Uchumi wa nchi za kusini mwa Sahara waitia wasi wasi Côte d’Ivoire
Apr 06, 2017 03:07Serikali ya Côte d’Ivoire imeoyesha wasi wasi juu ya mwendelezo wa kushuka kiwango cha uchumi wa nchi za kusini mwa Sahara, barani Afrika.
-
Kupambana na ugaidi, lengo la kongamano la usalama barani Afrika
Apr 04, 2017 08:05Viongozi wa masuala ya intelijensia na usalama kutoka nchi 30 za Kiafrika wanakutana mjini Khartoum, Sudan katika kikao cha siku tatu kwa lengo la kuchunguza mikakati ya kupambana na vitisho vipya na ongezeko la ugaidi barani humo.
-
Spoti Wiki Hii, Apr 3
Apr 03, 2017 02:29Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya spoti kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita.......
-
US$ Milioni 255 zahitajika kuwasaidia watoto kukabiliana na njaa Afrika, Yemen
Mar 30, 2017 02:12Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limesema, watoto takriban milioni 1.4 nchini Nigeria, Somalia, Sudan Kusini na Yemen wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa.
-
Tahadhari kuhusu hali ya mgogoro katika nchi za mashariki mwa Afrika
Mar 27, 2017 07:31Mgogoro wa ukame katika eneo la mashariki mwa Afrika umeulazimisha Umoja wa Mataifa kutoa onyo kuhusiana na hatari ya janga la wakimbizi kwenye eneo hilo.
-
UN yaanzisha kampeni mpya ya kutokomeza Polio Afrika
Mar 25, 2017 03:13Kampeni ya chanjo ya aina yake kuwahi kufanyika katika bara la Afrika dhidi ya polio itatoa chanjo kwa watoto milioni 116 wiki ijayo katika nchi 13 za Afrika Magharibi na Kati, limesema Shirika la Afya Duniani, WHO na Shirika la Kuhudumia Watoto, UNICEF.
-
Darul Iftaa ya Misri: Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa ugaidi barani Afrika
Mar 16, 2017 11:24Darul Iftaa ya Misri imetangaza kuwa, nchi za Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa makundi ya kigaidi barani Afrika na kwamba nchi hizo zinapaswa kulazimishwa kuacha kuyaunga mkono makundi ya kigaidi.
-
Ulimwengu wa Michezo, Machi 13
Mar 13, 2017 03:37Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti ndani ya siku saba zilizopita.......