Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • UN: Mamilioni ya watu wanahitajia misaada ya chakula katika eneo la Ziwa Chad

    UN: Mamilioni ya watu wanahitajia misaada ya chakula katika eneo la Ziwa Chad

    May 16, 2016 23:46

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mamilioni ya watu katika eneo la Ziwa Chad barani Afrika wanahitajia misaada ya chakula.

  • AU yaelezea kusikitishwa na kiwango kikubwa cha ufisadi barani Afrika

    AU yaelezea kusikitishwa na kiwango kikubwa cha ufisadi barani Afrika

    May 08, 2016 03:05

    Umoja wa Afrika AU umeelezea kusikitishwa sana na kiwango cha juu cha ufisadi katika nchi za bara hilo.

  • Rwanda: Kongamano la uchumi Kigali kuangazia teknolojia na mfumo wa dijitali

    Rwanda: Kongamano la uchumi Kigali kuangazia teknolojia na mfumo wa dijitali

    May 07, 2016 03:15

    Rwanda inatazamiwa kuwa mwenyeji wa duru ya 26 ya Kongamano la Uchumi Duniani WEF mapema wiki ijayo. Marais, wajasiriamali na wawekezaji zaidi ya 1,200 wa bara hilo wanatazamiwa kushiriki kongamano hilo litakalofanyika Kigali kati ya Mei 11 na 13.

  • Rouhani: Iran inafadhilisha kuwa na uhusiano mzuri na nchi za Afrika

    Rouhani: Iran inafadhilisha kuwa na uhusiano mzuri na nchi za Afrika

    May 03, 2016 23:36

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili linafadhilisha kuwa na mahusiano mazuri na nchi za Afrika ikiwemo Togo.

  • Tahadhari kuhusu kutoweka utajiri wa Afrika

    Tahadhari kuhusu kutoweka utajiri wa Afrika

    May 03, 2016 02:28

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini ameonya kuhusu bara la Afrika kupata hasara ya mabilioni ya dola kutokana na utajiri wa Afrika kuondolewa kinyume cha sheria barani humo.

  • Wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi Afrika

    Wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi Afrika

    Apr 28, 2016 10:44

    Mkuu wa kikosi cha Kiafrika cha kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram amezitaka nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi hilo kuzidisha azma ya kukabiliana na ugaidi.

  • WHO: Malaria itaangamizwa kabisa Afrika hadi mwaka 2020

    WHO: Malaria itaangamizwa kabisa Afrika hadi mwaka 2020

    Apr 25, 2016 10:36

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kuna uwezekano ugonjwa wa malaria utaangamizwa kabisa ifikapo mwaka 2020.

  • Kulaaniwa na Umoja wa Afrika mashambulizi ya watu wenye silaha nchini Ethiopia

    Kulaaniwa na Umoja wa Afrika mashambulizi ya watu wenye silaha nchini Ethiopia

    Apr 19, 2016 22:14

    Umoja wa Afrika AU umelaani vikali mashambulizi ya watu wenye silaha katika mpaka wa Ethiopia na Sudan Kusini.

  • Makubaliano ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Makubaliano ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Mar 26, 2016 08:45

    Mawaziri wa Ulinzi na viongozi wa ngazi ya juu wa nchi 27 za Kiarabu na Kiafrika jana Ijumaa walifikia makubaliano katika mkutano uliofanyika Sharam-Sheikh nchini Misri kuhusu kuimarisha ushirikiano baina yao katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Waasi Sudan wakataa makubaliano ya amani

    Waasi Sudan wakataa makubaliano ya amani

    Mar 25, 2016 11:21

    Makundi ya wanamgambo wenye silaha Sudan bado hayataki kukubali makubaliano ya amani yaliyosimamiwa na Umoja wa Afrika huku serikali ya Sudan ikisisitiza makubaliano hayo ni ya mwisho na hayawezi kubadilishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS