Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Iran na Afrika Kusini kustawisha uhusiano wao wa kiulinzi

    Iran na Afrika Kusini kustawisha uhusiano wao wa kiulinzi

    Oct 15, 2018 00:16

    Mkuu wa masuala ya kimataifa wa Wizara ya Ulinzi ya Iran na Waziri wa Ulinzi wa Afrika Kusini wamesisitizia kustawishwa ushirikiano wa kiulinzi na kijeshi kati ya nchi mbili.

  • Mjukuu wa Mandela: Utawala kandamizi wa Israel ni mbaya zaidi kuliko ule wa ubaguzi wa rangi

    Mjukuu wa Mandela: Utawala kandamizi wa Israel ni mbaya zaidi kuliko ule wa ubaguzi wa rangi

    Oct 12, 2018 13:42

    Mjukuu wa shujaa wa uhuru wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela amefananisha mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya waandamanaji wa Palestina huko katika Ukanda wa Gaza na mauaji yaliyofanywa na utawala wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini katika eneo la Sharpeville mwaka 1960 na kusisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni mbaya zaidi kuliko ule wa apartheid.

  • Iran na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wa kiulinzi

    Iran na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wa kiulinzi

    Oct 12, 2018 01:03

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimesisitiza juu ya azma zilionayo ya kuimarisha ushirikiano wa kiulinzi baina yao.

  • Afrika Kusini yatuhumiwa kushirikiana na Saudia katika mauaji ya watu wa Yemen

    Afrika Kusini yatuhumiwa kushirikiana na Saudia katika mauaji ya watu wa Yemen

    Oct 08, 2018 11:17

    Serikali ya Afrika Kusini imetuhumiwa kuwa inashirikiana na Saudi Arabia katika mauaji yanayofanywa na utawala huo wa kifalme dhidi ya raia wasio na hatia nchini Yemen.

  • Afrika Kusini yapongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya ICJ

    Afrika Kusini yapongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya ICJ

    Oct 07, 2018 04:18

    Idara ya Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa ya Afrika Kusini imepongeza hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuiagiza Washington isimamishe vikwazo vyake vya upande mmoja dhidi ya Iran haraka iwezekanavyo.

  • Afrika Kusini yatakiwa kusitisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudia

    Afrika Kusini yatakiwa kusitisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudia

    Oct 04, 2018 23:33

    Wanaharakati wa masuala ya amani na haki za binadamu wa Afrika Kusini wameitaka serikali ya nchi hiyo isimamishe ushirikiano wake wa kijeshi na Saudi Arabia kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa Riyadh hususan nchini Yemen.

  • Namibia kuwapokonya wazungu mashamba kama Afrika Kusini

    Namibia kuwapokonya wazungu mashamba kama Afrika Kusini

    Oct 04, 2018 10:41

    Rais wa Namibia ameahidi kwamba atatwaa mashamba ya kilimo yanayomilikiwa na Wazungu nchini humo na kuyagawa kwa wananchi wazalendo wa nchi hiyo.

  • Waafrika Kusini waandamana kupinga ukosefu wa amani

    Waafrika Kusini waandamana kupinga ukosefu wa amani

    Oct 01, 2018 23:42

    Maandamano yaliyofanywa na wakazi wa jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini kulalamikia hali mbaya ya ukosefu wa usalama yamegeuka na kuwa ghasia na machafuko makubwa.

  • Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Sep 26, 2018 23:30

    Serikali ya Afrika Kusini imekanusha taarifa zilizoenea kwamba, imemrejesha huko Tel Aviv balozi wake ambaye ilimwita nyumbani mwezi Mei mwaka huu.

  • Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kupasishwa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia

    Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kupasishwa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia

    Sep 26, 2018 00:36

    Rais wa Afrika Kusini amezitaka nchi zote duniani kutia saini mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia wa mwaka 2017 TPNW kwa kifupi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS