Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na Afrika Kusini

    Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na Afrika Kusini

    Apr 24, 2016 12:29

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema watu wa Iran walisimama bega kwa bega na kuwaunga mkono wazalendo wa Afrika Kusini wakati wakipambana na utawala wa makaburuwabaguzi wa rangi.

  • Rais Rouhani ampokea rasmi Rais Zuma wa Afrika Kusini

    Rais Rouhani ampokea rasmi Rais Zuma wa Afrika Kusini

    Apr 24, 2016 03:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempokea rasmi mwenzake wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ikiwa ni safari ya kwanza kwa rais huyo kuitembelea nchi hii tangu baada ya kuanza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia kati ya Tehran na nchi zinazounda kundi 5+1.

  • Malema: Tuko tayari kupindua serikali ya Zuma hata kwa silaha

    Malema: Tuko tayari kupindua serikali ya Zuma hata kwa silaha

    Apr 24, 2016 03:12

    Kinara wa upinzani nchini Afrika Kusini ameonya kuwa, wapinzani wako tayari kuipindua serikali ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo hata kwa mtutu wa bunduki.

  • Chama kikuu cha upinzani Afrika Kusini chaahidi 'serikali ya ukweli'

    Chama kikuu cha upinzani Afrika Kusini chaahidi 'serikali ya ukweli'

    Apr 23, 2016 22:19

    Chama kikuu cha upinzani nchini Afrika Kusini cha Muungano wa Kidemokrasia (DA) kimezindua ilani yake ya uchaguzi katika jiji la Johannesburg, kitovu cha uchumi na moja ya maeneo kiliyokusudia kuyanyakua kutoka mikononi mwa chama tawala cha ANC katika uchaguzi wa mabaraza ya miji utakaofanyika mwezi Agosti.

  • Rais Zuma wa Afrika Kusini kuitembelea Iran leo

    Rais Zuma wa Afrika Kusini kuitembelea Iran leo

    Apr 22, 2016 23:50

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini anatazamiwa kuwasili nchini Iran Jumamosi ya leo akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi.

  • Rais Zuma wa Afrika Kusini kuitembelea Iran Jumamosi

    Rais Zuma wa Afrika Kusini kuitembelea Iran Jumamosi

    Apr 22, 2016 11:53

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini anatazamiwa kuwasili nchini Iran Jumamosi ya kesho akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi.

  • Zuma azidi kusakamwa, kesi dhidi yake yawasilishwa mahakamani

    Zuma azidi kusakamwa, kesi dhidi yake yawasilishwa mahakamani

    Apr 10, 2016 03:31

    Kiongozi wa jamii ya Khoisan nchini Afika Kusini amewasilisha kesi ya jinai dhidi ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Zuma Anusurika kura ya kumwondoa madarakani

    Zuma Anusurika kura ya kumwondoa madarakani

    Apr 06, 2016 03:01

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amenusurika kura ya kutokuwa na imani naye bungeni.

  • Wapambe wa Mandela wamtaka rais Zuma ajiuzulu haraka

    Wapambe wa Mandela wamtaka rais Zuma ajiuzulu haraka

    Apr 02, 2016 12:02

    Mwanaharakati maarufu anayepinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini amemtaka Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ang'oke madarakani haraka iwezekanavyo.

  • Mahakama: Rais Zuma alikiuka katiba, arejeshe fedha zilizofujwa

    Mahakama: Rais Zuma alikiuka katiba, arejeshe fedha zilizofujwa

    Mar 31, 2016 09:42

    Mahakama ya Juu ya Afrika Kusini imemuagiza Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kuirejeshea serikali sehemu ya dola milioni 16 za Marekani zilizotumika kukarabati makazi yake binafsi, kwenye moja ya kashfa kubwa za ufisadi zilizowahi kuripotiwa nchini humo katika miaka ya hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS