Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika ya Kati

  • Kutiwa saini makubaliano ya amani kati ya serikali ya CAR na makundi ya waasi

    Kutiwa saini makubaliano ya amani kati ya serikali ya CAR na makundi ya waasi

    Jun 20, 2017 11:21

    Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imetiliana saini makubaliano ya amani na makundi 13 ya waasi ikiwa ni katika juhudi za kuhitimisha vurugu na machafuko yaliyoigubika nchi hiyo na kuhatarisha usalama wa raia.

  • UN yataka kusitishwa mshambulizi dhidi ya raia huko CAR

    UN yataka kusitishwa mshambulizi dhidi ya raia huko CAR

    Jun 09, 2017 08:07

    Kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kimetoa wito wa kusimamishwa haraka iwezekanavyo mashambulizi yanayofanywa na makundi yenye silaha dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Nchi za Afrika na UN: Uungaji mkono wa kimataifa unahitajika kutatua mgogoro wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Nchi za Afrika na UN: Uungaji mkono wa kimataifa unahitajika kutatua mgogoro wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 03, 2017 15:10

    Nchi za katikati mwa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetoa wito wa kuwepo msukumo na uungaji mkono wa kimataifa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UN: Yamkini jinai dhidi ya binadamu zimefanywa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN: Yamkini jinai dhidi ya binadamu zimefanywa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 30, 2017 15:37

    Umoja wa Mataifa umesema kuna uwezekano jinai dhidi ya binadamu zimefanywa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mauaji yaendelea Afrika ya Kati, watu wengine 22 wauawa

    Mauaji yaendelea Afrika ya Kati, watu wengine 22 wauawa

    May 21, 2017 04:17

    Mapigano yameendelea kushuhudiwa kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ambapo watu 22 wameripotiwa kuuawa.

  • Wimbi la wakimbizi wa CAR lamiminika nchini DRC

    Wimbi la wakimbizi wa CAR lamiminika nchini DRC

    May 17, 2017 07:33

    Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusiana na wakimbizi ametangaza habari ya kumiminika maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Katibu Mkuu UN alaani mashambulio dhidi ya raia na wasimamia amani CAR

    Katibu Mkuu UN alaani mashambulio dhidi ya raia na wasimamia amani CAR

    May 15, 2017 14:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulio ya hivi karibuni ya makundi ya wabeba silaha dhidi ya raia na askari wa kusimamia amani wa umoja huo MINUSCA huko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Wakimbizi wengi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati waingia DRC

    Wakimbizi wengi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati waingia DRC

    May 06, 2017 13:09

    Viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza kuwa, idadi kubwa ya wakimbizi kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati wameingia nchini humo.

  • China: Beijing iko tayari kushiriki katika juhudi za kurejesha amani CAR

    China: Beijing iko tayari kushiriki katika juhudi za kurejesha amani CAR

    Mar 17, 2017 15:40

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa nchi yake iko tayari kushiriki katika juhudi za kurejesha amani na utulivu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Hali ya kibinadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati yazidi kuwa mbaya

    Hali ya kibinadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati yazidi kuwa mbaya

    Mar 16, 2017 14:54

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa kuongezeka machafuko na mivutano huko Jamhuri ya Afrika ya Kati kumeifanya hali ya kibinadamu nchini humo kuwa mbaya tangu mwezi Septemba mwaka jana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS