-
WHO: Dunia iisaidie Tanzania kukabili Marburg; kesi mpya zaripotiwa E.Guinea
Mar 24, 2023 03:45Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na kuiunga mkono Tanzania katika kupambana na mripuko wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg.
-
WHO: Nchi 37 za Afrika zinakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya
Mar 15, 2023 08:41Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema nchi 37 za bara Afrika zinakabiliwa na hatari kutokana na uhaba wa wahudumu wa afya.
-
WHO: Nchi nyingi hazina sera za kudhibiti matumizi makubwa ya chumvi
Mar 10, 2023 03:35Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa, karibu robo tatu ya nchi wanachama wa taasisi hiyo hazina sera za kupunguza kwa lazima matumizi ya juu ya chumvi.
-
UN yashtushwa na ongezeko la utapiamlo miongoni mwa wajawazito Afrika
Mar 08, 2023 06:17Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusu ongezeko la kutisha la kesi za utapiamlo mkali miongoni mwa wanawake wajawazito hususan katika nchi za Afrika.
-
AHAIC: Hakuna usalama wa afya duniani bila kujumuishwa Afrika
Mar 07, 2023 03:56Viongozi wa sekta za afya Afrika wamesema dunia haitafanikiwa kuwa na usalama wa afya, iwapo nchi za bara hilo zitaendelea kutengwa.
-
Uganda yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Ebola ulioua makumi
Jan 11, 2023 07:45Uganda imetangaza habari ya kudhibitiwa na kutokomezwa mlipuko wa Ebola ambao umeua makumi ya watu nchini humo tangu Septemba mwaka uliomalizika 2022.
-
Kipindupindu chaua watu 51 kusini mwa Nigeria
Dec 20, 2022 03:59Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu kusini mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 51.
-
WHO: Corona ilisababisha vifo 63,000 zaidi vya malaria 2021
Dec 09, 2022 22:53Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuvurugika utoaji wa huduma za afya kutokana na janga la Corona kulipelekea kuongezeka vifo vya wagonjwa wa malaria duniani mwaka jana 2021.
-
UN yaonya baada ya mripuko wa kipindupindu kuua watu 20 Ethiopia
Nov 25, 2022 23:04Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imetoa indhari baada ya makumi ya watu kuaga dunia huku mamia ya wengine wakiathiriwa kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu kusini mashariki mwa Ethiopia.
-
Homa ya Dengue yaua makumi ya watu nchini Sudan
Nov 24, 2022 06:54Mamlaka za afya nchini Sudan zimetangaza habari ya kuaga dunia makumi ya watu kutokana na mripuko wa homa ya Dengi (Dengue) nchini humo.