-
Mchango wa uongozi bora katika ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran
Feb 01, 2018 08:06Siku kumi za kabla ya kupata ushindi kamili Mapinduzi Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran maarufu hapa nchini kwa jina la Alfajiri Kumi zinakumbusha nyakati tamu na chungu kwa taifa la Iran ambalo hatimaye lilifanikiwa kufanya mapinduzi makubwa zaidi katika karne ya ishirini kutokana na mshikamano wao na uongozi shupavu wa hayati Imam Ruhullah Khomeini.
-
Wairani waanza sherehe za Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 01, 2018 07:57Wananchi wa Iran wameanza sherehe za Alfajiri Kumi katika kona zote za nchi kwa ajili ya kuadhimisha miaka 39 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 nchini Iran ambayo yaliupindua utawala wa kitaghuti wa Kipahlavi uliokuwa unaungwa mkono kila upande na Marekani.
-
Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini na Msingi wa Utawala wa Faqihi
Jan 31, 2018 08:47Alfajiri ya tarehe 12 Bahman 1357 Hijria Shamsia (11 Februari 1979) ilikuwa siku ya matarajio makubwa na kusibiri kwa hamu kulikoandamana na wasiwasi na hofu kubwa.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Nane)
Feb 06, 2017 12:29Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Tukiwa tunaendelea na mfululizo wa makala hizi maalumu ambazo tumekuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi, ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ambayo hivi sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaadhimisha miaka 38 ya tangu kupata ushindi mapinduzi hayo matukufu ambayo yameleta mabadiliko makubwa sana ulimwengu, tunakukaribisheni katika sehemu nyingine ya mfululizo huu tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hadi mwisho wa kipindi.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Tatu)
Jan 30, 2017 06:46Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Radio Tehran. Hivi sasa tumo katika maadhimisho ya Alfajiri 10 za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Leo tumeamua kukuleteeni kipindi maalumu kwa mnasaba huo ambapo tutajaribu kutupia jicho kwa muhtasari historia ndefu na chungu ya uingiliaji wa madola ya kibeberu hususan Marekani katika masuala ya ndani ya Iran.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Pili)
Jan 30, 2017 05:47Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka hapa mjini Tehran, na karibuni kusikiliza sehemu ya pili ya vipindi hivi maalumu ambavyo tumekuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Kwanza)
Jan 29, 2017 07:07Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika mfululizo huu wa vipindi kadhaa tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa mfululizo huu ambao tutakuwa nao kila siku hadi yatakapofikia kileleni maadhimisho hayo yaani siku ya Ijumaa ya tarehe 10 Februari.
-
Bahman 22 dhihirisho la nguvu za taifa la Iran
Feb 11, 2016 15:17Tarehe 11 Februari ni siku ya kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu maarufu kwa sherehe za Bahman 22 nchini Iran. Leo (Alkhamisi) Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yameadhimisha miaka 37 ya tangu kupata kwake ushindi tarehe 11 Februari 1979.
-
Nafasi ya Mapinduzi ya Kiislamu katika kuleta umoja katika umma wa Kiislamu + SAUTI
Feb 09, 2016 08:57Bismillahir Rahmanir Rahim. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki kingine maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho Alfajiri Kumi ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Leo tutajaribu kuangazia nafasi ya mapinduzi hayo katika kuleta umoja na mshikamano katika umma wa Kiislamu tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.
-
Matamshi ya Kiongozi Muadhamu katika mkutano na maafisa wa Jeshi la Anga
Feb 09, 2016 07:38Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, siku ya Jumatatu alikutana na makamanda na maafisa wa Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Februari 11 Bahman na uchaguzi ujao wa Februari 26 ni Idi mbili zenye maana kwa taifa la Iran.