Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Iraq yaishukuru Iran kwa misaada yake muhimu kwa serikali ya Baghdad

    Iraq yaishukuru Iran kwa misaada yake muhimu kwa serikali ya Baghdad

    Aug 28, 2017 10:19

    Balozi wa Iraq nchini Algeria ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuwa nchi ya kwanza kuwasaidia wananchi wa Iraq katika wakati mgumu hasa wakati wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh walipokaribia kuutwaa mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad.

  • Maficho kadhaa ya magaidi yasambaratishwa nchini Algeria

    Maficho kadhaa ya magaidi yasambaratishwa nchini Algeria

    Aug 26, 2017 22:10

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza habari ya kuangamizwa maficho kadhaa ya magaidi kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Misri yazuia misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingia Gaza

    Misri yazuia misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingia Gaza

    Aug 19, 2017 10:53

    Serikali ya Misri imezuia misafara ya misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingizwa katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais wa Algeria: Dunia nzima ishikamane kung'oa mizizi ya ugaidi

    Rais wa Algeria: Dunia nzima ishikamane kung'oa mizizi ya ugaidi

    Aug 19, 2017 10:21

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ametoa wito kwa nchi zote duniani kushikamana kwa ajili ya kung'oa mizizi ya ugaidi.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria nchini Iraq, kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria nchini Iraq, kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Aug 10, 2017 06:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Abdul Qader al-Masahel jana tarehe 8 Agosti aliwasili Baghdad nchini Iraq na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Algeria lanasa maghala ya silaha za magaidi

    Jeshi la Algeria lanasa maghala ya silaha za magaidi

    Aug 05, 2017 09:01

    Wizara ya Ulinzi nchini Algeria imetangaza kuwa, imefanikiwa kunasa maghala kadhaa ya silaha yanayomilikiwa na magaidi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.

  • Algeria: Kamwe hatutachukua mkopo wa kigeni licha ya matatizo yetu

    Algeria: Kamwe hatutachukua mkopo wa kigeni licha ya matatizo yetu

    Jul 31, 2017 02:54

    Waziri Mkuu wa Algeria amesema kuwa, kuchukua mkopo wa kigeni ni mstari mwekundu wa serikali yake.

  • Mwandishi wa Algeria: Saudia ni silaha inayotumiwa na Marekani kuwahujumu Waislamu

    Mwandishi wa Algeria: Saudia ni silaha inayotumiwa na Marekani kuwahujumu Waislamu

    Jul 19, 2017 12:49

    Mwandishi maarufu wa nchini Algeria Haddat Hizam, amesema kuwa kinyume na madai yanayotolewa, Saudia si tu kwamba haina na nafasi yoyote yenye maslahi katika eneo, bali ni nyenzo bora inayotumiwa na Marekani kuwalenga Waislamu.

  • Mauritania yayatangaza maeneo yanayopakana na Algeria kuwa ya kijeshi

    Mauritania yayatangaza maeneo yanayopakana na Algeria kuwa ya kijeshi

    Jul 15, 2017 02:39

    Wizara ya Ulinzi ya Mauritania imeyatangaza maeneo ya mpaka wa kaskazini mwa nchi hiyo ambayo yanapakana na Algeria kuwa maeneo ya kijeshi na kwa msingi huo imewataka raia kutokaribia maeneo hayo.

  • Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika

    Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika

    Jul 11, 2017 03:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama na amani ya nchi zote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS