Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Rais wa Algeria amtaka mkoloni Mfaransa aiombe radhi nchi yake

    Rais wa Algeria amtaka mkoloni Mfaransa aiombe radhi nchi yake

    Jul 06, 2017 03:11

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kwa mara nyingine amemtaka mkoloni mkongwe wa Ulaya yaan Ufaransa aiombe radhi rasmi nchi yake kutokana na jinai kubwa alizowafanyia wananchi wa Algeria.

  • Jumatano 5 Julai, 2017

    Jumatano 5 Julai, 2017

    Jul 04, 2017 23:34

    Leo ni Jumatano tarehe 110 Shawwal 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 5 Julai 2017.

  • Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi

    Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi

    Jul 04, 2017 08:13

    Rais wa Algeria ametahadharisha kuhusu hatari ya vijana elfu tano wa Afrika waliojiunga na mkundi ya kigaidi.

  • Algeria: Tutatoa ushirikiano wowote kusaidia kutekelezwa makubaliano ya kisiasa Libya

    Algeria: Tutatoa ushirikiano wowote kusaidia kutekelezwa makubaliano ya kisiasa Libya

    Jun 25, 2017 23:46

    Serikali ya Algeria imeuhakikishia Umoja wa Mataifa kufanya juhudi zozote zinazohitajika kwa ajili ya kufanikisha utekelezwaji wa makubaliano ya kisiasa nchini Libya.

  • Jumanne 20 Juni, 2017

    Jumanne 20 Juni, 2017

    Jun 19, 2017 21:57

    Leo ni Jumanne tarehe 25 Ramadhani mwaka 1438 Hijria sawa na tarehe 20 Juni mwaka 2017.

  • Iran na Algeria zasisitiza kutatuliwa kwa amani hitilafu za kieneo

    Iran na Algeria zasisitiza kutatuliwa kwa amani hitilafu za kieneo

    Jun 18, 2017 09:47

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Algeria wamesisitiza juu ya udharura wa kutatuliwa kwa njia za amani hitilafu na mivutano ya kieneo.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran barani Afrika

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran barani Afrika

    Jun 17, 2017 23:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo (Jumapili) anaanza ziara ya kuzitembelea nchi za Algeria, Mauritania na Tunisia.

  • Jumatano 14 Juni, 2017

    Jumatano 14 Juni, 2017

    Jun 13, 2017 22:39

    Leo ni Jumatano tarehe 19 Ramadhani 1438 Hijiria sawa na tarehe 14 Juni 2017.

  • Algeria kuimarisha ushirikiano na Iran katika vita dhidi ya ugaidi

    Algeria kuimarisha ushirikiano na Iran katika vita dhidi ya ugaidi

    Jun 12, 2017 03:22

    Algeria imelaani vikali mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni hapa mjini Tehran na kusema kuwa, itaendelea kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika vita vya kuyatokomeza magenge ya kigaidi.

  • Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Jun 05, 2017 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Muhammad Javad Zarif, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Kuwait, Qatar, Lebanon, Algeria na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na matukio yanayoendelea kujiri katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS