-
Rais wa Algeria amtaka mkoloni Mfaransa aiombe radhi nchi yake
Jul 06, 2017 03:11Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kwa mara nyingine amemtaka mkoloni mkongwe wa Ulaya yaan Ufaransa aiombe radhi rasmi nchi yake kutokana na jinai kubwa alizowafanyia wananchi wa Algeria.
-
Jumatano 5 Julai, 2017
Jul 04, 2017 23:34Leo ni Jumatano tarehe 110 Shawwal 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 5 Julai 2017.
-
Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi
Jul 04, 2017 08:13Rais wa Algeria ametahadharisha kuhusu hatari ya vijana elfu tano wa Afrika waliojiunga na mkundi ya kigaidi.
-
Algeria: Tutatoa ushirikiano wowote kusaidia kutekelezwa makubaliano ya kisiasa Libya
Jun 25, 2017 23:46Serikali ya Algeria imeuhakikishia Umoja wa Mataifa kufanya juhudi zozote zinazohitajika kwa ajili ya kufanikisha utekelezwaji wa makubaliano ya kisiasa nchini Libya.
-
Jumanne 20 Juni, 2017
Jun 19, 2017 21:57Leo ni Jumanne tarehe 25 Ramadhani mwaka 1438 Hijria sawa na tarehe 20 Juni mwaka 2017.
-
Iran na Algeria zasisitiza kutatuliwa kwa amani hitilafu za kieneo
Jun 18, 2017 09:47Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Algeria wamesisitiza juu ya udharura wa kutatuliwa kwa njia za amani hitilafu na mivutano ya kieneo.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran barani Afrika
Jun 17, 2017 23:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo (Jumapili) anaanza ziara ya kuzitembelea nchi za Algeria, Mauritania na Tunisia.
-
Jumatano 14 Juni, 2017
Jun 13, 2017 22:39Leo ni Jumatano tarehe 19 Ramadhani 1438 Hijiria sawa na tarehe 14 Juni 2017.
-
Algeria kuimarisha ushirikiano na Iran katika vita dhidi ya ugaidi
Jun 12, 2017 03:22Algeria imelaani vikali mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni hapa mjini Tehran na kusema kuwa, itaendelea kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika vita vya kuyatokomeza magenge ya kigaidi.
-
Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo
Jun 05, 2017 23:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Muhammad Javad Zarif, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Kuwait, Qatar, Lebanon, Algeria na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na matukio yanayoendelea kujiri katika eneo.