Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

askari wa Israel

  • Afisa wa Marekani aliyejiuzulu: Wanajeshi wa Marekani wanashiriki katika vita vya Israel huko Gaza

    Afisa wa Marekani aliyejiuzulu: Wanajeshi wa Marekani wanashiriki katika vita vya Israel huko Gaza

    Jun 27, 2024 02:59

    Afisa aliyejiuzulu kutoka Shirika la Ujasusi la Ulinzi la Marekani, Meja Harrison Mann, amesema kuwa vita vilivyoanzishwa na Israel katika Ukanda wa Gaza havingeweza kuendelea hadi leo bila msaada usio na kikomo wa Marekani, akisisitiza kwamba wanajeshi wa Marekani wanapigana katika kuilinda Israel.

  • Mapambano yanaendelea kwa siku ya tatu, Hamas yapiga Ashkelon na Ashdod

    Mapambano yanaendelea kwa siku ya tatu, Hamas yapiga Ashkelon na Ashdod

    Oct 09, 2023 15:03

    Mapigano kati ya wapigania ukombozi wa Palestina na jeshi la utawala vamizi wa Israel yameendelea leo kwa siku ya tatu katika maeneo ya ndani ya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni karibu na Ukanda wa Gaza, ukiwa mwendelezo wa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyoanzishwa na Brigedi za Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Hamas) dhidi ya uvamizi wa Israeli, huku kukiwa na makadirio kwamba Wazayuni wasiopunguau 1,000 wa Israeli wameangamizwa hadi sasa.

  • UN: Mwanahabari Shireen Abu Akleh aliuawa na wanajeshi wa Israel

    UN: Mwanahabari Shireen Abu Akleh aliuawa na wanajeshi wa Israel

    Jun 24, 2022 13:26

    Umoja wa Mataifa umesema taarifa ulizokusanya zinaonesha kuwa, Shireen Abu Akleh, mwandishi wa habari wa televisheni ya al-Jazeera ya Qatar aliuawa kwa kupigwa risasi na vikosi vya Israel.

  • Imarati yatakiwa kuangalia upya uhusiano, mapatano yake na Israel

    Imarati yatakiwa kuangalia upya uhusiano, mapatano yake na Israel

    May 08, 2021 12:20

    Muungano wa Muqawama Dhidi ya Kuanzishwa Uhusiano na Israel wa Umoja wa Falme za Kiarabu umeitaka serikali ya Imarati, wafanyabiashara na shakhsia huru wa nchi hiyo ya Kiarabu kuangalia upya mapatano ya ushirikiano yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya UAE na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumatatu Disemba 14 2020

    Jumatatu Disemba 14 2020

    Dec 14, 2020 03:00

    Leo ni Jumatatu tarehe 28 Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria mwafaka na tarehe 14 Desemba 2020 Miladia.

  • Jeshi la Israel laua na kuwateka nyara vijana wa Palestina

    Jeshi la Israel laua na kuwateka nyara vijana wa Palestina

    Dec 04, 2018 14:37

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemfyatulia risasi na kumuua shahidi kijana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 22, katika hujuma ya leo asubuhi katika mji wa Tulkarem, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza

    Sep 29, 2018 08:13

    Kwa akali Wapalestina saba wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya 500 wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    May 29, 2018 01:43

    Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemmiminia risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke asiye na uwezo wa kusikia wa Kipalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Jeshi la Israel laua shahidi binti wa Kipalestina wa miaka 16

    Jeshi la Israel laua shahidi binti wa Kipalestina wa miaka 16

    May 08, 2017 07:00

    Wanajeshi katili wa utawala haramu wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahidi binti wa Kipalestina mashariki mwa Quds Tukufu.

  • Vikosi vya Israel vyawateka nyara Wapalestina 14 Ukingo wa Magharibi

    Vikosi vya Israel vyawateka nyara Wapalestina 14 Ukingo wa Magharibi

    Mar 20, 2017 07:37

    Vikosi katili vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewateka nyara raia 14 wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS