Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

askari wa Israel

  • Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    May 29, 2018 01:43

    Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemmiminia risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke asiye na uwezo wa kusikia wa Kipalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Jeshi la Israel laua shahidi binti wa Kipalestina wa miaka 16

    Jeshi la Israel laua shahidi binti wa Kipalestina wa miaka 16

    May 08, 2017 07:00

    Wanajeshi katili wa utawala haramu wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahidi binti wa Kipalestina mashariki mwa Quds Tukufu.

  • Vikosi vya Israel vyawateka nyara Wapalestina 14 Ukingo wa Magharibi

    Vikosi vya Israel vyawateka nyara Wapalestina 14 Ukingo wa Magharibi

    Mar 20, 2017 07:37

    Vikosi katili vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewateka nyara raia 14 wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Israel imewatia nguvuni Wapalestina 420 mwezi Februari

    Israel imewatia nguvuni Wapalestina 420 mwezi Februari

    Mar 06, 2017 04:02

    Ripoti mpya zinaonyesha kuwa askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewatia nguvuni na kuwaweka kizuizini Wapalestina 420 katika kipindi cha mwezi mmoja tu uliopita wa Februari ukiwa ni muendelezo wa ukandamizaji unaofanywa na utawala huo katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina.

  • Askari wa Israel aliyeua Mpalestina afungwa miezi 18

    Askari wa Israel aliyeua Mpalestina afungwa miezi 18

    Feb 21, 2017 14:27

    Askari wa jeshi katili la utawala haramu wa Israel aliyemuua kwa kumfyatuliwa risasi raia wa Palestina, amehukumiwa kifungo cha miezi 18 pekee jela.

  • Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7

    Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7

    Feb 09, 2017 07:13

    Kwa akali Wapalestina wawili wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya watano wakijeruhiwa baada ya ndege ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutekeleza hujuma ya anga katika mji wa Rafah, Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Jinai za kila upande za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Jinai za kila upande za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Oct 22, 2016 07:16

    Jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina haziishii katika medani ya vita tu au katika uga wa masuala ya kijamii, bali jinai hizo zimepanuka na kufika hata katika mfumo wa kimahakama wa utawala huo ghasibu ambapo kutolewa hukumu za kidhulma na zisizo za kiadilifu dhidi ya Wapalestina ni mlolongo mwingine wa jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina.

  • Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu

    Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu

    Sep 05, 2016 07:26

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kumuua shahidi kijana Mpalestina.

  • Israel yazidisha ukatili dhidi ya Wapalestina kwa himaya ya Marekani

    Israel yazidisha ukatili dhidi ya Wapalestina kwa himaya ya Marekani

    Jul 04, 2016 07:51

    Ripoti za hivi karibuni zinaonesha kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha ukandamizaji na ukatili dhidi ya watu wanaoendelea kukandamizwa wa Palestina.

  • Familia: Israel inazuia miili ya Wapalestina wanaowaua

    Familia: Israel inazuia miili ya Wapalestina wanaowaua

    Jun 23, 2016 08:03

    Familia za Wapalestina waliouawa shahidi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano kuutaka utawala wa Tel Aviv kuwapa miili ya wapendwa wao huku wakitaja sera hiyo ya kuzuia miili kuwa 'jinai na mateso kwa walio hai na waliokufa'.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS