Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Austria

  • Marufuku ya burqa yaanza kutekelezwa nchini Austria

    Marufuku ya burqa yaanza kutekelezwa nchini Austria

    Oct 01, 2017 15:21

    Serikali ya Austria imeanza kutekeleza rasmi marufuku ya wanawake Waislamu kuvaa hijabu inayofunika uso wote maarufu kama burqa au niqabu katika maeneo yote ya umma nchini humo.

  • Rais Rouhani ataka serikali ya Myanmar isitishe mauaji ya kimbari ya Waislamu

    Rais Rouhani ataka serikali ya Myanmar isitishe mauaji ya kimbari ya Waislamu

    Sep 19, 2017 16:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar ni ya kusikitisha huku akisisitiza udharura wa kuishinikiza serikali ya Myanmar ili isitishe mauaji ya kimbari na ukandamizaji dhidi ya Waislamu Warohingya.

  • Alkhamisi 10 Agosti, 2017

    Alkhamisi 10 Agosti, 2017

    Aug 10, 2017 04:23

    Leo ni Alkhamisi tarehe 17 Mfunguo Pili Dhilqaada 1438 Hijria sawa na tarehe 10 Agosti 2017.

  • Alkhamisi, 13 Aprili, 2017

    Alkhamisi, 13 Aprili, 2017

    Apr 13, 2017 03:20

    Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rajab 1438 Hijria, sawa na Aprili 13, 2017.

  • Hijabu ya Kiislamu yapigwa marufuku maeneo ya umma Austria

    Hijabu ya Kiislamu yapigwa marufuku maeneo ya umma Austria

    Feb 01, 2017 04:21

    Serikali ya Austria imechukua hatua ya kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa aina ya hijabu inayofunuka uso wote, yaani niqabu, katika maeneo yote ya umma nchini humo.

  • Waislamu wa Austria walalamikia mpango wa kuwazuia kuvaa Hijabu

    Waislamu wa Austria walalamikia mpango wa kuwazuia kuvaa Hijabu

    Jan 07, 2017 15:57

    Waislamu wa nchi Austria wamelalamikia vikali mpango wa kuwapiga marufuku kuvaa vazi la staha la Hijabu katika maeneo ya kazi za umma.

  • Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu

    Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu

    Jan 07, 2017 07:21

    Waziri wa Mambo ya Nje na Utangamano wa Austria ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la hijabu linalovaliwa na wanawake Waislamu katika maeneo ya umma nchini humo.

  • Jumanne, tarehe Mosi Novemba, 2016

    Jumanne, tarehe Mosi Novemba, 2016

    Nov 01, 2016 02:48

    Leo ni Jumanne tarehe Mosi Safar 1438 Hijria sawa na tarehe Mosi Novemba 2016.

  • Jumatano, 26 Oktoba, 2016

    Jumatano, 26 Oktoba, 2016

    Oct 26, 2016 06:07

    Leo Jumatano tarehe 24 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 26, 2016.

  • Kuahirishwa safari ya Rais wa Iran nchini Austria

    Kuahirishwa safari ya Rais wa Iran nchini Austria

    Mar 30, 2016 06:12

    Imeelezwa kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itafanyika katika muda muafaka kufuatia kufikiwa makubaliano kati ya pande mbili na ili kuwezesha kufanyika uratibu zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS