-
Jumatatu, tarehe 8 Julai, 2019
Jul 08, 2019 02:43Leo ni tarehe 5 Dhilqaadi 1440 Hijria sawa na Julai 8 mwaka 2019.
-
Bunge la Iraq lakosoa vikali harakati za kutia shaka za balozi mdogo wa Marekani nchini humo
Apr 16, 2019 04:08Kamati ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq sambamba na kukosoa vikali harakati za kutia shaka za balozi mdogo wa Marekani mjini Baghdad, imesisitiza kuwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq inatakiwa kuchukua hatua kuhusiana na suala hilo.
-
Jumatatu tarehe 29 Oktoba, 2018
Oct 29, 2018 04:07Leo ni Jumatatu tarehe 19 Safar 1440 Hijria sawa na 29 Oktoba 2018.
-
Jumatatu, Oktoba 8, 2018
Oct 08, 2018 02:32Leo ni Jumatatu tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Oktoba 8, mwaka 2018 Milaadia.
-
Waziri Mkuu wa Iraq azungumza na Barzani kuhusu Kurdistan ya Iraq
Jan 21, 2018 03:09Waziri Mkuu wa Iraq, Haydar al Abadi na Nechirvan Barzani, rais wa utawala wa ndani wa eneo la Kurdistan la Iraq wamefanya mazungumzo kuhusiana na matukio ya hivi karibuni na mgogoro uliozuka baina ya Baghdad na Erbil baada ya Kurdistan kuitisha kura ya maoni ya kujitenga na Iraq.
-
Watu 27 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghdad, Iraq
Jan 15, 2018 07:49Watu wasiopungua 27 wameuawa na wengine zaidi ya 65 kujuruhiwa kufuatia mashambulizi mawili ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Bajeti na vivuko vya mpakani; hitilafu mpya baina ya Arbil na Baghdad
Nov 03, 2017 06:30Katika hali ambayo eneo la Kurdistan la Iraq limekumbwa na mivutano mikubwa ya ndani, mzozo baina ya eneo hilo na serikali kuu ya Iraq nao ungali unatokota.
-
Alkhamisi 19 Oktoba, 2017
Oct 19, 2017 04:20Leo ni Alkhamisi tarehe 28 Muharram 1439 Hijria sawa na 19 Oktoba, 2017.
-
Serikali ya Iraq yapitisha vikwazo vipya dhidi ya eneo la Kurdistan
Oct 10, 2017 03:07Katika kujibu hatua ya viongozi wa eneo la Kurdistan ya Iraq ya kukiuka katiba na kuitisha kura ya maoni ya kutaka kujitenga na kujitangazia uhuru, serikali kuu ya Iraq imechukua maamuzi mapya ya kuliadhibu eneo hilo.
-
Jumapili, 17 Septemba, 2017
Sep 17, 2017 02:37Leo ni Jumapili tarehe 26 Dhul-Hajj mwaka 1438 Hijiria, sawa na tarehe 17 Septemba 2017 Miladia.