-
Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa
Jun 14, 2017 15:36Balozi wa Syria nchini Iraq amesema kuwa, sababu kuu ya kutokea mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran, ni kutokana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi pekee iliyosimama kikweli na wananchi na serikali za Iraq na Syria kupambana na magenge ya kigaidi yaliyozivamia nchini hizo.
-
Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115
May 30, 2017 15:40Polisi ya Iraq imetangaza kuwa idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa usiku wa kuamkia leo kwenye eneo la Al-Karrada katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad imeongezeka na kufikia 115.
-
Watu 36 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghadad
Jan 02, 2017 15:11Watu wasiopungua 36 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa leo kufuatia hujuma ya kigaidi katika kitongoji cha Sadr katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Milipuko yaua kwa uchache watu 28 katikati mwa Baghdad, Iraq
Dec 31, 2016 14:53Milipuko miwili iliyotokea katikati mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad imeua watu wasiopungua 28.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq
Oct 16, 2016 14:43Watu zaidi ya 30 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililoulenga mkusanyiko wa waombolezaji waliokuwa wakiandamana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Baghdad yairuhusu Russia kutumia anga yake dhidi ya Daesh
Aug 17, 2016 07:12Baghdad imesema kuwa Russia imeruhusiwa kwa masharti kutumia anga ya Iraq kuendesha mashambulizi dhidi ya kundi la Daesh huko Syria.
-
30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq
Jul 24, 2016 07:49Kwa akali watu 10 wamethibitishwa kupoteza maisha na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea mapema leo katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Jumatatu, 04 Julai 2016
Jul 04, 2016 06:20Leo ni Jumatatu tarehe 28 Ramadhani mwaka 1437 Hijria sawa na 4 Julai 2016.
-
Ban alaani mashambulizi ya kigaidi ya Baghdad
Jul 04, 2016 04:33Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea Baghdad nchini Iraq na kutoa mkono wa pole na salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa mashambulizi hayo.
-
Idadi ya wahanga wa miripuko ya kigaidi Baghdad yaongezeka
Jul 03, 2016 13:36Duru za habari zimeripoti kuwa idadi ya wahanga wa miripuko ya kigaidi iliyotokea Baghdad mji mkuu wa Iraq imeongezeka na kufikia watu 165.