Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baghdad

  • Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa

    Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa

    Jun 14, 2017 15:36

    Balozi wa Syria nchini Iraq amesema kuwa, sababu kuu ya kutokea mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran, ni kutokana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi pekee iliyosimama kikweli na wananchi na serikali za Iraq na Syria kupambana na magenge ya kigaidi yaliyozivamia nchini hizo.

  • Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    May 30, 2017 15:40

    Polisi ya Iraq imetangaza kuwa idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa usiku wa kuamkia leo kwenye eneo la Al-Karrada katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad imeongezeka na kufikia 115.

  • Watu 36 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghadad

    Watu 36 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghadad

    Jan 02, 2017 15:11

    Watu wasiopungua 36 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa leo kufuatia hujuma ya kigaidi katika kitongoji cha Sadr katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Milipuko yaua kwa uchache watu 28 katikati mwa Baghdad, Iraq

    Milipuko yaua kwa uchache watu 28 katikati mwa Baghdad, Iraq

    Dec 31, 2016 14:53

    Milipuko miwili iliyotokea katikati mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad imeua watu wasiopungua 28.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq

    Oct 16, 2016 14:43

    Watu zaidi ya 30 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililoulenga mkusanyiko wa waombolezaji waliokuwa wakiandamana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Baghdad yairuhusu Russia kutumia anga yake dhidi ya Daesh

    Baghdad yairuhusu Russia kutumia anga yake dhidi ya Daesh

    Aug 17, 2016 07:12

    Baghdad imesema kuwa Russia imeruhusiwa kwa masharti kutumia anga ya Iraq kuendesha mashambulizi dhidi ya kundi la Daesh huko Syria.

  • 30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq

    30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq

    Jul 24, 2016 07:49

    Kwa akali watu 10 wamethibitishwa kupoteza maisha na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea mapema leo katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Jumatatu, 04 Julai 2016

    Jumatatu, 04 Julai 2016

    Jul 04, 2016 06:20

    Leo ni Jumatatu tarehe 28 Ramadhani mwaka 1437 Hijria sawa na 4 Julai 2016.

  • Ban alaani mashambulizi ya kigaidi ya Baghdad

    Ban alaani mashambulizi ya kigaidi ya Baghdad

    Jul 04, 2016 04:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea Baghdad nchini Iraq na kutoa mkono wa pole na salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa mashambulizi hayo.

  • Idadi ya wahanga wa miripuko ya kigaidi Baghdad yaongezeka

    Idadi ya wahanga wa miripuko ya kigaidi Baghdad yaongezeka

    Jul 03, 2016 13:36

    Duru za habari zimeripoti kuwa idadi ya wahanga wa miripuko ya kigaidi iliyotokea Baghdad mji mkuu wa Iraq imeongezeka na kufikia watu 165.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS