Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baytul Muqaddas

  • Israel kutekeleza njama mpya ili kuwaacha bila makazi Wapalestina 1550 wa Baitul Muqaddas

    Israel kutekeleza njama mpya ili kuwaacha bila makazi Wapalestina 1550 wa Baitul Muqaddas

    Mar 20, 2021 03:41

    Vyombo vya habari vya nchi za Kiarabu vimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeandaa mpango wa kubomoa nyuma zaidi ya 100 za Wapalestina katika mji unaoukalia kwa mabavu wa Baitul Muqaddas na kuwaacha Wapalestina wapatao 1550 bila mahali pa kuishi.

  • Yemen itaendelea kuwa mstari wa mbele katika ukombozi wa Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Yemen itaendelea kuwa mstari wa mbele katika ukombozi wa Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Dec 28, 2020 08:13

    Mjumbe mmoja wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuwa, nchi hiyo ni miongoni mwa nchi zilizoko mstari wa mbele katika ukombozi wa Quds na Kibla cha Kwanza cha Waislamu

  • Jordan yasisitiza kuiunga mkono Quds na Palestina

    Jordan yasisitiza kuiunga mkono Quds na Palestina

    Dec 18, 2020 12:01

    Mfalme wa Jordan amesisitiza kuiunga mkono nchi huru ya Palestina ambayo mji wake mkuu utakuwa Quds Tukufu.

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Quds ni mstari wetu mwekundu

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Quds ni mstari wetu mwekundu

    Dec 16, 2020 07:40

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imesema kuwa Quds na matukufu yake ni mstari mwekundu wa Wapalestina.

  • Israel yapanga kwa siri na Saudia namna ya kuwatwisha Wapalestina

    Israel yapanga kwa siri na Saudia namna ya kuwatwisha Wapalestina "Muamala wa Karne"

    Jun 01, 2020 09:51

    Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limeripoti kuwa, kumefanyika mazungumzo ya siri baina ya viongozi wa Israel na Saudi Arabia kuhusu kupewa Wasaudia usimamiaji wa maeneo matukufu ya mji wa Baytul Muqaddas kama sehemu ya utekelezaji wa mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne na kukabiliana na ushawishi wa Uturuki.

  • Jumanne tarehe 17 Machi 2020

    Jumanne tarehe 17 Machi 2020

    Mar 17, 2020 01:42

    Leo ni Jumanne tarehe 22 Rajab 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 17 Machi mwaka 2020.

  • Alkhamisi, tarehe 11 Julai, 2019

    Alkhamisi, tarehe 11 Julai, 2019

    Jul 11, 2019 03:57

    leo ni Alkhamisi tarehe 8 Dhulqaada 1440 Hijria sawa na tarehe 11 Julai 2019.

  • Jumapili, tarehe 17 Machi, 2019

    Jumapili, tarehe 17 Machi, 2019

    Mar 17, 2019 07:39

    Leo ni Jumapili tarehe 10 Rajab 1440 Hijiri, sawa na tarehe 17 Machi 2019 Miladia.

  • Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO

    Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO

    Jan 09, 2019 08:48

    Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.

  • Jumatano, 11 Julai, 2018

    Jumatano, 11 Julai, 2018

    Jul 11, 2018 04:06

    Leo ni Jumatano tarehe 27 Shawwal 1439 Hijria sawa na Julai 11, 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS