Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Boko Haram yaua raia 10 katika shambulizi la kigaidi nchini Nigeria

    Boko Haram yaua raia 10 katika shambulizi la kigaidi nchini Nigeria

    Mar 08, 2018 01:41

    Habari kutoka Nigeria zimeripoti kwamba kwa akali raia 10 wameuawa na wanamgambo wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram katika mashambulizi matatu tofauti, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Makumi ya wasichana watoweka Yobo baada ya shambulizi la Boko Haram

    Makumi ya wasichana watoweka Yobo baada ya shambulizi la Boko Haram

    Feb 21, 2018 14:31

    Zaidi ya wasichana 90 wa shule wanahofiwa kutoweka baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kushambulia kijiji kimoja cha kaskazini mashariki mwa jimbo la Yobo nchini Nigeria.

  • Jeshi la Nigeria lashindwa kumkamata kinara Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lashindwa kumkamata kinara Boko Haram

    Feb 20, 2018 15:36

    Vikosi vya jeshi la Nigeria vimeshindwa kumkamata kiongozi wa kundi la magaidi wakufurishaji la Boko Haram, Abubakar Shekau katika oparesheni maalumu iliyofanyika hivi karibuni.

  • Nigeria yawaachia huru mamia ya washukiwa wa Boko Haram

    Nigeria yawaachia huru mamia ya washukiwa wa Boko Haram

    Feb 19, 2018 03:05

    Serikali ya Nigeria imewaachia huru mamia ya watu waliokuwa wakishukiwa kuwa wananchama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram kwa ukosefu wa ushahidi katika kesi zilizokuwa zikiwaandama.

  • Watu 18 wauawa katika shambulizi la kigaidi Maiduguri

    Watu 18 wauawa katika shambulizi la kigaidi Maiduguri

    Feb 17, 2018 08:14

    Magaidi watatu waliokuwa wamejifunga mabomu wameua watu wasiopungua 18 katika mji wa Maiduguri ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria ambao ni makao makuu ya jimbo la Borno lililoathiriwa zaidi na mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Kiongozi wa Boko Haram asema amechoka na anatamani kufa

    Kiongozi wa Boko Haram asema amechoka na anatamani kufa

    Feb 08, 2018 13:54

    Katika kile kinachoonekana ni kupoteza matumaini na kuhisi kufikwa na maji shingoni, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, Abubakar Shekau amesema amechoshwa na misukosuko na anatamani kufa.

  • Video ya kundi la Boko Haram yawaonyesha baadhi ya mabinti waliotekwa nyara na kundi hilo

    Video ya kundi la Boko Haram yawaonyesha baadhi ya mabinti waliotekwa nyara na kundi hilo

    Jan 15, 2018 14:44

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram lenye makao yake nchini Nigeria leo limedai kutoa mkanda wa video ukiwaonyesha baadhi ya mabinti waliosalia mikononi mwa kundi hilo ambao walitekwa nyara katika mji wa Chibok kaskazini mashariki mwa Nigeria mwaka 2014.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulio jipya la Boko Haram nchini Cameroon

    Watu kadhaa wauawa katika shambulio jipya la Boko Haram nchini Cameroon

    Jan 11, 2018 15:56

    Duru za kiusalama nchini Cameroon zimetangaza habari ya kutokea shambulizi jipya la genge la kigaidi la Boko Haram kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Nchi 4 za magharibi mwa Afrika zaanza operesheni kali dhidi ya Boko Haram

    Nchi 4 za magharibi mwa Afrika zaanza operesheni kali dhidi ya Boko Haram

    Jan 10, 2018 16:06

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, kikosi cha majeshi ya nchi nne za magharibi mwa Afrika kimeanza hujuma kali iliyopewa jina la Deep Punch 2 dhidi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Mateka 700 waachiwa huru kutoka mikononi mwa Boko Haram

    Mateka 700 waachiwa huru kutoka mikononi mwa Boko Haram

    Jan 03, 2018 07:48

    Maafisa wa jeshi la Nigeria wametangaza kuwa watu 700 waliokuwa wametakwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mwa nchi hiyo wameachiwa huru.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS