-
Rais Buhari: Jeshi la Nigeria limeiteka kambi kuu ya kundi la Boko Haram
Dec 25, 2016 00:21Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema jeshi la nchi hiyo limeiteka kambi kuu ya mwisho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika msitu wa Sambisa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watu kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria
Dec 19, 2016 23:36Watu kadhaa wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi linalosadikiwa kufanywa na wanamgambo wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika
Dec 16, 2016 11:14Maelfu ya watoto wa maeneo tofauti ya Afrika wamefunikwa na kivuli cha mauti kutokana na ukosefu wa amani na machafuko yanayotokana na mashambulizi ya kigaidi na baa la njaa barani humo.
-
WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria
Dec 16, 2016 01:19Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeharibu sehemu kubwa ya vituo vya afya katika eneo la kaskazini mwa Nigeria.
-
Mamia ya raia wakombolewa kutoka mikononi mwa Boko Haram, Nigeria
Dec 15, 2016 02:51Afisa wa jeshi la Nigeria amesema kuwa, zaidi ya raia 600 wakiwemo watoto 450 wa nchi hiyo wamekombolewa kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Boko Haram yaua watu zaidi ya 1500 nchini Cameroon
Dec 12, 2016 10:47Watu zaidi ya 1500 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa kitakfiri wa Boko Haram huko Cameroon.
-
UN: Boko Haram ingali tishio licha ya kupoteza ngome zake
Dec 08, 2016 04:02Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram lenye makao yake nchini Nigeria lingali tishio katika eneo la Ziwa Chad licha ya kupoteza udhibiti wa ngome zake nyingi.
-
Mashambulio ya kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mwa Cameroon
Nov 26, 2016 00:23Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la Nigeria limeshadidisha mashambulio yake katika miezi ya karibuni nchini Cameroon ambapo kwa mujibu wa ripoti ya kundi la kimataifa la migogoro kundi hilo limeshambulia kambi tatu za jeshi la Cameroon katika maeneo ya Darak, Diguina na Kolofata nchini humo.
-
Komandi ya Ulinzi ya Nigeria: Tutang'oa mizizi yote ya kundi la Boko Haram
Nov 12, 2016 10:19Komandi ya Ulinzi ya Nigeria imesisitiza juu ya kuwa tayari nchi hiyo kuendesha mapambano na vita vyenye malengo maalum dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Sisitizo la Umoja wa Afrika la kukabiliana na kundi la Boko Haram
Nov 12, 2016 08:55Viongozi wa Umoja wa Afrika wametilia mkazo udharura wa kuendelezwa uungaji mkono na misaada kwa kikosi kinachoundwa na wanajeshi wa nchi kadhaa za magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya kundi la Boko Haram.