Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika

    Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika

    Dec 16, 2016 14:44

    Maelfu ya watoto wa maeneo tofauti ya Afrika wamefunikwa na kivuli cha mauti kutokana na ukosefu wa amani na machafuko yanayotokana na mashambulizi ya kigaidi na baa la njaa barani humo.

  • WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    Dec 16, 2016 04:49

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeharibu sehemu kubwa ya vituo vya afya katika eneo la kaskazini mwa Nigeria.

  • Mamia ya raia wakombolewa kutoka mikononi mwa Boko Haram, Nigeria

    Mamia ya raia wakombolewa kutoka mikononi mwa Boko Haram, Nigeria

    Dec 15, 2016 06:21

    Afisa wa jeshi la Nigeria amesema kuwa, zaidi ya raia 600 wakiwemo watoto 450 wa nchi hiyo wamekombolewa kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  •  Boko Haram yaua watu zaidi ya 1500 nchini Cameroon

    Boko Haram yaua watu zaidi ya 1500 nchini Cameroon

    Dec 12, 2016 14:17

    Watu zaidi ya 1500 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa kitakfiri wa Boko Haram huko Cameroon.

  • UN: Boko Haram ingali tishio licha ya kupoteza ngome zake

    UN: Boko Haram ingali tishio licha ya kupoteza ngome zake

    Dec 08, 2016 07:32

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram lenye makao yake nchini Nigeria lingali tishio katika eneo la Ziwa Chad licha ya kupoteza udhibiti wa ngome zake nyingi.

  • Mashambulio ya kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mwa Cameroon

    Mashambulio ya kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mwa Cameroon

    Nov 26, 2016 03:53

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la Nigeria limeshadidisha mashambulio yake katika miezi ya karibuni nchini Cameroon ambapo kwa mujibu wa ripoti ya kundi la kimataifa la migogoro kundi hilo limeshambulia kambi tatu za jeshi la Cameroon katika maeneo ya Darak, Diguina na Kolofata nchini humo.

  • Komandi ya Ulinzi ya Nigeria: Tutang'oa mizizi yote ya kundi la Boko Haram

    Komandi ya Ulinzi ya Nigeria: Tutang'oa mizizi yote ya kundi la Boko Haram

    Nov 12, 2016 13:49

    Komandi ya Ulinzi ya Nigeria imesisitiza juu ya kuwa tayari nchi hiyo kuendesha mapambano na vita vyenye malengo maalum dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Sisitizo la Umoja wa Afrika la kukabiliana na kundi la Boko Haram

    Sisitizo la Umoja wa Afrika la kukabiliana na kundi la Boko Haram

    Nov 12, 2016 12:25

    Viongozi wa Umoja wa Afrika wametilia mkazo udharura wa kuendelezwa uungaji mkono na misaada kwa kikosi kinachoundwa na wanajeshi wa nchi kadhaa za magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya kundi la Boko Haram.

  • Makumi ya wanachama wa Boko Haram wauawa Cameroon

    Makumi ya wanachama wa Boko Haram wauawa Cameroon

    Nov 12, 2016 04:07

    Jeshi la Cameroon limewaangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria lakadhibisha kuwasajili mamluki wa kigeni kwa ajili ya kupambana na B/Haram

    Jeshi la Nigeria lakadhibisha kuwasajili mamluki wa kigeni kwa ajili ya kupambana na B/Haram

    Nov 11, 2016 15:36

    Jeshi la Nigeria limekadhibisha taarifa kuwa linawasajili mamluki kutoka nchi za nje ili kuwatumia katika mapambano dhidi ya kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS