Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Brazil

  • Jumanne, tarehe Pili Julai, 2024

    Jumanne, tarehe Pili Julai, 2024

    Jul 02, 2024 00:38

    Leo ni Jumanne tarehe 25 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria sawa na tarehe Pili Julai 2024.

  • Brazil yamrejesha nyumbani balozi wake wa Israel kulalamikia jinai za Gaza

    Brazil yamrejesha nyumbani balozi wake wa Israel kulalamikia jinai za Gaza

    May 30, 2024 03:35

    Brazil imemrejesha nyumbani balozi wake wa Israel kulalamikia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza, ambayo yamepelekea Wapalestina zaidi ya 36,100 kuuawa shahidi tangu Oktoba, 2023.

  • Polisi ya Brazil yamshtaki rais wa zamani Bolsonaro kwa kughushi cheti cha chanjo ya COVID

    Polisi ya Brazil yamshtaki rais wa zamani Bolsonaro kwa kughushi cheti cha chanjo ya COVID

    Mar 20, 2024 08:02

    Polisi ya Brazil imependekeza rais wa zamani wa nchi hiyo Jair Bolsonaro ashtakiwe kwa kughushi cheti chake cha chanjo ya COVID.

  • Rais wa Brazil ataka kuundwa nchi huru ya Palestina

    Rais wa Brazil ataka kuundwa nchi huru ya Palestina

    Mar 06, 2024 08:12

    Rais Lula da Silva wa Brazil kwa mara nyingine tena ametangaza himaya na uungaji mkono wake kkwa taifa la Palestina na kusisitiza juu ya kuundwa nchi huru ya Palestina.

  • Rais wa Brazil: Kinachofanywa na Wazayuni huko Ghaza ni mauaji ya umati

    Rais wa Brazil: Kinachofanywa na Wazayuni huko Ghaza ni mauaji ya umati

    Feb 24, 2024 02:49

    Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil amesema kuwa, kinachofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni mauaji ya umati.

  • Brazil yamuita nyumbani balozi wake wa Israel, mzozo watokota

    Brazil yamuita nyumbani balozi wake wa Israel, mzozo watokota

    Feb 20, 2024 09:22

    Serikali ya Brazil imemrejesha nyumbani balozi wake wa Israel, huku mzozo wa kidiplomasia ukiendelea kutokota baina ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini na Tel Aviv.

  • Rais wa Brazil: Umoja wa Mataifa uwe na ushujaa kuhakikisha nchi ya Palestina inaundwa

    Rais wa Brazil: Umoja wa Mataifa uwe na ushujaa kuhakikisha nchi ya Palestina inaundwa

    Oct 28, 2023 23:30

    Rais Lula da Silva wa Brazil amesema, Umoja wa Mataifa lazima uwe na ushujaa wa kuhakikisha inaundwa nchi ya Palestina.

  • Kikao kisichokuwa na natija cha Baraza la Usalama: Marekani yapinga usitishaji mapigano Gaza

    Kikao kisichokuwa na natija cha Baraza la Usalama: Marekani yapinga usitishaji mapigano Gaza

    Oct 19, 2023 07:20

    Jumatano, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilikataa tena azimio la kusitisha mapigano huko Gaza kufuatia upinzani wa Marekani. Marekani ilipinga azimio lililopendekezwa kwa Baraza la Usalama na Brazil, lililotaka kusitishwa mapigano ili kufikishwa misaada ya kibinadamu Ghaza.

  • Alkhamisi tarehe 7 Septemba 2023

    Alkhamisi tarehe 7 Septemba 2023

    Sep 06, 2023 23:09

    Leo ni َAlkhamisi tarehe 21 Mfunguo Tano Safar 1445 Hijria sawa na tarehe 7 Septemba 2023.

  • Rais wa Brazil atoa mwito tena wa kufanyiwa mageuzi Baraza la Usalama la UN

    Rais wa Brazil atoa mwito tena wa kufanyiwa mageuzi Baraza la Usalama la UN

    Aug 27, 2023 09:42

    Rais Luis Inacio Lula da Silva wa Brazil amerudia tena wito wake wa kufanyiwa mageuzi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS