-
Polisi ya Brazil yamshtaki rais wa zamani Bolsonaro kwa kughushi cheti cha chanjo ya COVID
Mar 20, 2024 11:32Polisi ya Brazil imependekeza rais wa zamani wa nchi hiyo Jair Bolsonaro ashtakiwe kwa kughushi cheti chake cha chanjo ya COVID.
-
Rais wa Brazil ataka kuundwa nchi huru ya Palestina
Mar 06, 2024 11:42Rais Lula da Silva wa Brazil kwa mara nyingine tena ametangaza himaya na uungaji mkono wake kkwa taifa la Palestina na kusisitiza juu ya kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Rais wa Brazil: Kinachofanywa na Wazayuni huko Ghaza ni mauaji ya umati
Feb 24, 2024 06:19Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil amesema kuwa, kinachofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni mauaji ya umati.
-
Brazil yamuita nyumbani balozi wake wa Israel, mzozo watokota
Feb 20, 2024 12:52Serikali ya Brazil imemrejesha nyumbani balozi wake wa Israel, huku mzozo wa kidiplomasia ukiendelea kutokota baina ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini na Tel Aviv.
-
Rais wa Brazil: Umoja wa Mataifa uwe na ushujaa kuhakikisha nchi ya Palestina inaundwa
Oct 29, 2023 03:00Rais Lula da Silva wa Brazil amesema, Umoja wa Mataifa lazima uwe na ushujaa wa kuhakikisha inaundwa nchi ya Palestina.
-
Kikao kisichokuwa na natija cha Baraza la Usalama: Marekani yapinga usitishaji mapigano Gaza
Oct 19, 2023 10:50Jumatano, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilikataa tena azimio la kusitisha mapigano huko Gaza kufuatia upinzani wa Marekani. Marekani ilipinga azimio lililopendekezwa kwa Baraza la Usalama na Brazil, lililotaka kusitishwa mapigano ili kufikishwa misaada ya kibinadamu Ghaza.
-
Alkhamisi tarehe 7 Septemba 2023
Sep 07, 2023 02:39Leo ni َAlkhamisi tarehe 21 Mfunguo Tano Safar 1445 Hijria sawa na tarehe 7 Septemba 2023.
-
Rais wa Brazil atoa mwito tena wa kufanyiwa mageuzi Baraza la Usalama la UN
Aug 27, 2023 13:12Rais Luis Inacio Lula da Silva wa Brazil amerudia tena wito wake wa kufanyiwa mageuzi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa
Aug 05, 2023 03:56Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil ametaka kupigwa teke na kuwekwa pembeni matumizi ya sarafu ya dola katika biashara za kimataifa na kutafutwa sarafu nyingine za kuziba nafasi ya sarafu hiyo ya Marekani.
-
Maonyesho ya kuakisi madhila ya Wapalestina yafanyika kwenye barabara za Sao Paulo, Brazil
Apr 17, 2023 10:29Maonesho ya picha za barabarani yamefanyika katika mji wa São Paulo nchini Brazili, kwa mnasaba wa Siku ya Quds Duniani.