Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Bunge la Somalia labatilisha hoja ya kutokuwa na imani na Rais

    Bunge la Somalia labatilisha hoja ya kutokuwa na imani na Rais

    Dec 12, 2018 07:41

    Bunge la Somalia limebatilisha hoja iliyowasilishwa na baadhi ya wabunge waliotaka kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na Rais wa nchi hiyo, Mohammed Abdullahi Farmajo.

  • Hashdu sh-Sha'abi yafichua njama za Marekani za kutaka kushambulia ngome zake Iraq

    Hashdu sh-Sha'abi yafichua njama za Marekani za kutaka kushambulia ngome zake Iraq

    Nov 26, 2018 04:34

    Harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq kupitia mbunge mmoja wa nchi hiyo imeeleza kwamba, Marekani inapanga njama za kutekeleza shambulizi dhidi ya ngome na wapiganaji wake.

  • Bunge la Burundi laitisha kikao cha dharura kutathmini sheria + Sauti

    Bunge la Burundi laitisha kikao cha dharura kutathmini sheria + Sauti

    Nov 16, 2018 06:09

    Bunge la Burundi lilikutana jana Alkhamisi, Novemba 15, 2018 katika kikao cha dharura cha kutathmini sheria ya kuimarisha ushirikiano wa kiusalama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.

  • Bunge la Iraq lataka kutimuliwa nchini humo askari wa Marekani

    Bunge la Iraq lataka kutimuliwa nchini humo askari wa Marekani

    Nov 11, 2018 13:32

    Mwanasiasa wa ngazi za juu wa Iraq amesema Bunge la nchi hiyo linatazamiwa kujadili hoja ya kuondoka kikamilifu wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu huku Baghdad ikiituhumu Washington kuwa inaingilia masuala yake ya ndani.

  • Wabunge wa Kuwait wapinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Wabunge wa Kuwait wapinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Oct 29, 2018 04:36

    Wawakilishi wa Bunge la Kuwait wamepinga vikali hatua yoyote ya nchi yao ya kutaka kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Ethiopia yapata rais wa kwanza mwanamke

    Ethiopia yapata rais wa kwanza mwanamke

    Oct 25, 2018 13:55

    Bunge la Ethiopia limemuidhinisha mwandiplomasia wa kimataifa, Sahle-Work Zewde kuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kuanza kazi bunge la tano la Afrika; matatizo na malengo yaliyopo mbele yake

    Kuanza kazi bunge la tano la Afrika; matatizo na malengo yaliyopo mbele yake

    Oct 24, 2018 12:18

    Kikao cha kwanza cha kawaida cha bunge la tano la Umoja wa Afrika (AU) kimeanza katika mji mkuu wa Rwanda, Kigali, lengo likiwa ni kufanya marekebisho ya miundo ya kiutawala na kidemokrasia na vilevile kurahisisha mahusiano ya kibiashara baina ya nchi za bara hilo.

  • Rais Shein afungua maonyesho ya utalii Zanzibar ya mwaka 2018

    Rais Shein afungua maonyesho ya utalii Zanzibar ya mwaka 2018

    Oct 17, 2018 15:14

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa, maonyesho ya utalii yanayofanyika Zanzibar ni muhimu kwa Serikali na wananchi kwa kuwa yamelenga kuitangaza Zanzibar na sekta ya utalii ambayo ndio mhimili mkuu wa uchumi wa visiwa hivyo vya Bahari ya Hindi.

  • Korea mbili zakubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja

    Korea mbili zakubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja

    Sep 28, 2018 04:16

    Serikali za Korea Kusini na Korea Kaskazini zimekubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja mwaka huu.

  • Sheria ya kura ya maoni kuhusu katiba ya Libya yapasishwa

    Sheria ya kura ya maoni kuhusu katiba ya Libya yapasishwa

    Sep 14, 2018 15:27

    Bunge la Libya lenye makao yake mashariki mwa nchi limefanya kikao cha dharura na kupasisha suala la kufanyika kura ya maoni kuhusu katiba ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS