Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • SAUTI, Serikali ya Burundi yapiga marufuku kuwanyanya raia kwa kutumia zoezi la uandikishaji majina ya wapiga kura

    SAUTI, Serikali ya Burundi yapiga marufuku kuwanyanya raia kwa kutumia zoezi la uandikishaji majina ya wapiga kura

    Feb 16, 2018 01:18

    Huku zoezi la uandikishaji majina ya wapiga kura katika daftari la kudumu la wapiga kura nchini Burundi likikaribia kumalizika, baadhi ya ripoti zinaarifu kuwepo vitendo vilivyo kinyume na sharia kuhusiana na zoezi hilo.

  • SAUTI, Uandikishaji majina ya wapigakura Burundi ili kushiriki kura ya maoni 2020 utakaomsafishia njia Rais Nkurunziza waanza

    SAUTI, Uandikishaji majina ya wapigakura Burundi ili kushiriki kura ya maoni 2020 utakaomsafishia njia Rais Nkurunziza waanza

    Feb 08, 2018 12:10

    Nchini Burundi, leo kumezinduliwa zoezi la uorodheshaji wa majina ya wapiga kura katika daftari la kudumu kuelekea kura ya maoni hapo baadaye.

  • SAUTI, Serikali ya Burundi yaanza kuwaondosha ombaomba mitaani, nao waitaka serikali iwape pesa ya kujikimu

    SAUTI, Serikali ya Burundi yaanza kuwaondosha ombaomba mitaani, nao waitaka serikali iwape pesa ya kujikimu

    Feb 06, 2018 12:25

    Serikali ya Burundi kupitia Wizara ya Mshikamano Kitaifa, imeanzisha zowezi la kuwaondowa watoto wa barabarani maarufu kama ombaomba katika dhamira ya kumaliza tatizo hilo.

  • Wapinzani wa serikali ya Burundi wakutana kuunganisha nguvu zao

    Wapinzani wa serikali ya Burundi wakutana kuunganisha nguvu zao

    Jan 30, 2018 13:18

    Wapinzani wa serikali ya Burundi walioko nje ya nchi wameanzisha jitihada za kuunda kambi na muungano dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo.

  • Raia elfu 7 wa Kongo wakimbilia Burundi ndani ya siku tatu

    Raia elfu 7 wa Kongo wakimbilia Burundi ndani ya siku tatu

    Jan 27, 2018 04:07

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchi jirani ya Burundi kwenda kutafuta hifadhi katika kipindi cha siku tatu zilizopita.

  • Jumapili,  Disemba 31, 2017

    Jumapili, Disemba 31, 2017

    Dec 31, 2017 00:09

    Leo ni Jumapili tarehe 12 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1439 Hijria, mwafaka na tarehe 31 Disemba 2017 Miladia.

  • Burundi yatoa mwito wa kuimarisha uhusiano wa kibiashara na Iran

    Burundi yatoa mwito wa kuimarisha uhusiano wa kibiashara na Iran

    Dec 17, 2017 04:32

    Mkuu wa Jumuiya ya Biashara na Viwanda ya Burundi ametoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa nchi hiyo ya Kiafrika na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi afungua mashindano ya baskeli ya Afrika Mashariki na Kati

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi afungua mashindano ya baskeli ya Afrika Mashariki na Kati

    Dec 12, 2017 04:49

    Jumuiya ya Afrika Mashariki imeandaa mashindano ya baskeli nchini Burundi yaliyitishwa kamaishara ya amani nchini humo. Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ambaye pia ni mshiriki wa mashindano hayo ndiye aliyeyazindua. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi:

  • Wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania wanakabiliwa na hali mbaya: UNHCR

    Wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania wanakabiliwa na hali mbaya: UNHCR

    Dec 01, 2017 12:59

    Maelfu ya wakimbizi wa Burundi wanaishi katikia hali mbaya kwenye kambi za wakimbizi nchini Tanzania kwa sababu ya uhaba wa fedha. hayo yamesemwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.

  • Mazungumzo ya Burundi kuanza Jumanne mjini Arusha Tanzania + Sauti

    Mazungumzo ya Burundi kuanza Jumanne mjini Arusha Tanzania + Sauti

    Nov 27, 2017 14:39

    Mazungumzo ya kusaka amani nchini Burundi yataanza Jumanne wiki hii mjini Arusha Tanzania chini ya upatanishi wa Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamini Mkapa. Hata hivyo kumekuwa na misimamo tafauti huku baadhi wakiunga mkono mazungumzo hayo; na wengine wakisema majadiliano hayo hayana umuhimu. Mwandishi wetu wa Bujumbura Hamida Issa ametutumia ripoti ifuatayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS