-
Ripoti: Saudia inatumia silaha za Canada kuwakandamiza raia wake
Aug 01, 2017 16:59Serikali ya Ottawa imesema inachunguza madai yaliyotolewa na vyombo vya habari na mashirika ya kiraia kuwa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia unatumia silaha zilizotengenezwa Canada katika ukandamizaji na jinai dhidi ya raia wake.
-
Wacanada waandamana kupinga ziara ya familia ya Trump katika mji wa Vancouver
Jul 13, 2017 08:21Wakazi wa mji wa Vancouver, Canada wamefanya maandamano makubwa kupinga ziara ya familia ya Rais Donald Trump wa Marekani katika mji huo.
-
Jumamosi, Julai Mosi, 2017
Jul 01, 2017 02:16Leo Jumamosi tarehe 6 Mfunguo Mosi Shawwal 1438 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai mwaka 2017 Miladia.
-
Hujuma za chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka Canada, Waislamu waonya
May 24, 2017 02:19Taasisi ya Waislamu ya mjini Quebec nchini Canada imeonya juu ya ongezeko la vitendo vya chuki dhidi ya wafuasi wa dini hiyo mjini hapo.
-
Waislamu Canada: Hujuma dhidi ya Waislamu zimeongezeka mara mbili zaidi
Mar 19, 2017 16:13Baraza la Kitaifa la Waislamu nchini Canada, limeonya juu ya ongezeko la vitendo vya chuki dhidi ya dini ya Uislamu nchini humo.
-
Watu wa Canada wataka bidhaa za Israel zisusiwe
Mar 03, 2017 13:37Watu wa Canada wametaka bidhaa zinazotegenezwa Israel zisusiwe nchini humo kama njia ya kutetea haki za taifa la Palestina.
-
Msikiti mwingine washambuliwa na watu wenye chuki Canada
Feb 04, 2017 04:33Polisi ya Canada imetangaza habari ya kushambuliwa msikiti na watu wenye chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika mji wa Montreal nchini humo.
-
Mauaji ya Waislamu msikitini Canada yaendelea kulaaniwa
Feb 04, 2017 03:56Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema makundi fisadi na ya kibepari yaliyo nyuma ya pazia yanapaswa kuwajibishwa kufuatia mauaji ya Waislamu dani ya msikiti huko Quebec Canada na maeneo mengine ya dunia.
-
Aliyetekeleza mauaji msikitini Canada ni mfuasi sugu wa Trump
Feb 01, 2017 04:20Mwanafunzi wa chuo kikuu aliyetekeleza mauaji dhidi ya waumini wa Kiislamu waliokuwa wakisali katika msikiti mmoja mjini Quebec nchini Canada siku chache zilizopita ni mtu mwenye misimamo ya mrengo wa kulia na mfuasi sugu wa Donald Trump, Rais wa Marekani.
-
Misikiti yafungwa Uholanzi kufuatia shambulizi la Quebec, Canada
Jan 31, 2017 13:24Misikiti minne ya Jamia nchini Uholanzi inatazamiwa kufungwa kutokana na kushadidi chuki dhidi ya Waislamu, siku mbili baada ya shambulizi la kikatili dhidi ya msikiti na kituo cha kidini mjini Quebec nchini Canada.