Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China yapasisha

    China yapasisha "kukomunistishwa" utamaduni wa Kiislamu

    Jan 07, 2019 23:07

    Serikali ya China imepasisha sheria ya kuoanisha utamaduni wa Kiislamu na mafundisho ya kikomunisti.

  • Sisitizo la Rais Xi Jinping wa China juu ya utayarifu wa jeshi la nchi yake kwa ajili ya vita

    Sisitizo la Rais Xi Jinping wa China juu ya utayarifu wa jeshi la nchi yake kwa ajili ya vita

    Jan 07, 2019 00:53

    Rais Xi Jinping wa China amelitaka jeshi la nchi yake kujiweka tayari kwa ajili ya kukabiliana na nchi ambayo hajaitaja.

  • China yafanyia majaribio

    China yafanyia majaribio "Mama wa Mabomu Yote"

    Jan 05, 2019 23:07

    Kampuni ya kutengeneza asilaha ya China imefanya majaribio ya mafaniko ya kombora lenye nguvu zaidi lisilo la nyuklia lililopewa jina la "Mama wa Mabomu Yote".

  • Serikali ya China yafunga misikiti mitatu katika mkoa wa Yunnan, kusini magharibi mwa nchi

    Serikali ya China yafunga misikiti mitatu katika mkoa wa Yunnan, kusini magharibi mwa nchi

    Jan 02, 2019 23:41

    Vyombo vya habari vya Hong Kong vimetangza kuwa serikali ya China imeifunga miisikiti mitatu katika mkoa wa Yunnan ulioko kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Iran: Kuwepo Marekani katika Ghuba ya Uajemi kunasababisha wasiwasi na mivutano

    Iran: Kuwepo Marekani katika Ghuba ya Uajemi kunasababisha wasiwasi na mivutano

    Dec 29, 2018 12:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Tokea awali sisi tumekuwa tukiamini kwamba kuwepo Marekani katika Ghuba ya Uajemi, mbali na kuwa ni kinyume cha sheria lakini pia kunasababisha hali ya wasiwasi na mivutano."

  • Guterres atahadharisha kuhusu vitisho vya mfumo wa kambi kadhaa

    Guterres atahadharisha kuhusu vitisho vya mfumo wa kambi kadhaa

    Dec 18, 2018 03:15

    Baada ya kusambaratika Urusi ya zamani na kumalizika kipindi cha Vita Baridi hapo mwaka 1991 mfumo wa kambi mbili za Mashariki na Magharibi pia ulitoweka na kumalizika.

  • Wasiwasi wa kuongezeka misaada ya Magharibi kwa magaidi wa Syria

    Wasiwasi wa kuongezeka misaada ya Magharibi kwa magaidi wa Syria

    Dec 15, 2018 02:55

    Tangu mwaka 2011 yalipoanzishwa machafuko nchini Syria hadi hivi sasa, nchi za Magharibi hasa Marekani, Uingereza na Ufaransa pamoja na vibaraka wao baadhi ya nchi za Kiarabu zimekuwa zikiyaunga mkono kwa hali na mali magenge ya kigaidi kwa tamaa ya kuipindua serikali iliyoko madarakani kihalali nchini Syria.

  • Marekani yachukua mateka katika vita vyake vya kibiashara na China

    Marekani yachukua mateka katika vita vyake vya kibiashara na China

    Dec 12, 2018 22:58

    Baada ya Donald Trump kuingia madarakani kama rais wa Marekani Januari mwaka 2017, amekuwa akifuatilia sera hasimu na zenye utata kuhusu China na hivyo kuwaibulia wakuu wa China changamoto kadhaa. Moja ya sera ambazo Trump ametekeleza ni kuongeza ushuru wa forodha kwa bidhaa kutoka China na kwa njia hiyo kutangaza rasmi vita vya kibiashara dhidi ya China.

  • China yarudisha mapigo, yapiga marufuku simu za iPhone

    China yarudisha mapigo, yapiga marufuku simu za iPhone

    Dec 12, 2018 09:02

    Kampuni ya Apple ya Marekani imepata pigo kubwa baada ya mahakama moja ya China kupiga marufuku uuzaji wa simu za iPhone nchini Uchina.

  • Askari wa China watumwa Sudan kulinda amani

    Askari wa China watumwa Sudan kulinda amani

    Dec 11, 2018 12:04

    Askari 100 wa kulinda amani wa China wameondoka Jumanne ya leo Beijing kuelekea Darfur, nchini Sudan kwa ajili ya majukumu ya kulinda amani kwa kipindi cha mwaka mmoja katika kikosi cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika (UNAMID).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS