Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China na Russia zapinga takwa la Marekani la kutoiuzia mafuta Korea Kaskazini

    China na Russia zapinga takwa la Marekani la kutoiuzia mafuta Korea Kaskazini

    Jul 20, 2018 03:48

    Duru za habari zimearifu kwamba China na Russia zimetupilia mbali pendekezo la Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji mafuta kwa Korea Kaskazini.

  • China yaikosoa Marekani kwa kuanzisha vita vya kibiashara duniani

    China yaikosoa Marekani kwa kuanzisha vita vya kibiashara duniani

    Jul 19, 2018 22:17

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameikosoa Markeani kwa kuanzisha vita vya kibiashara duniani.

  • Kamal Kharrazi: Ulimwengu usimame na kukabiliana na ubeberu wa Marekani

    Kamal Kharrazi: Ulimwengu usimame na kukabiliana na ubeberu wa Marekani

    Jul 15, 2018 23:08

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya taifa hili ni vya kidhulma na kuongeza kwamba, jamii ya kimataifa inapaswa kusimama kidete na kukabiliana na vikwazo hivyo.

  • Palestina yaitaka China isaidie utatuzi wa mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Palestina yaitaka China isaidie utatuzi wa mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Jul 14, 2018 09:40

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Palestina ameashiria njama na hatua za ukwamishaji mambo za Marekani katika kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Mashariki ya Kati na kuitaka China isaidie juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.

  • Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhidi ya tabia ya Marekani katika kipindi chote cha mazungumzo

    Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhidi ya tabia ya Marekani katika kipindi chote cha mazungumzo

    Jul 08, 2018 21:59

    Baada ya Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kuondoka mjini Pyongyang kuelekea Japan, serikali ya Korea Kaskazini imekosoa siasa ambazo zimekuwa zikitekelezwa na Washington katika kipindi chote cha mazungumzo ya waziri huyo na viongozi wa Korea Kaskazini.

  • China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Marekani, kisa usalama

    China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Marekani, kisa usalama

    Jul 03, 2018 11:03

    China imetoa tahadhari mpya kwa raia wake waliosafiri au wanaotaka kusafiri kwenda Marekani ikisema kuwa hakuna usalama wa umma nchini humo.

  • Vyombo vya habari China: Serikali ya Trump itafeli kwa Iran kama zilivyofeli serikali za kabla yake

    Vyombo vya habari China: Serikali ya Trump itafeli kwa Iran kama zilivyofeli serikali za kabla yake

    Jul 02, 2018 03:05

    Vyombo mbalimbali vya habari nchini China vimeakisi hotuba ya Kiongoni wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei aliyoitoa katika mahafali ya kuhitimu maafisa wa jeshi katika Chuo Kikuu cha Imam Hussein (as).

  • Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar

    Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar

    Jul 01, 2018 03:16

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa China ameeleza utayari wa serikali ya Myanmar kwa ajili ya kurejea nchini humo mamia ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya kutoka Bangladesh.

  • Tahadhari ya Beijing kwa Washington kuhusu athari mbaya za sera za kibiashara za White House

    Tahadhari ya Beijing kwa Washington kuhusu athari mbaya za sera za kibiashara za White House

    Jun 23, 2018 20:43

    Wizara ya Biashara ya China imetoa taarifa ikiitahadharisha Marekani kuhusu athari mbaya za sera za kibiashara za White House dhidi ya Beijing.

  • Kim Jong-un akutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing

    Kim Jong-un akutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing

    Jun 19, 2018 09:31

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un amefanya safari mjini Beijing, mji mkuu wa China na kukutana na Rais Xi Jinping wa nchi hiyo sambamba na kuzungumzia masuala ya kuinua kiwango cha mahusiano ya nchi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS