-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-5
Sep 02, 2017 15:50Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tano ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-3
Sep 02, 2017 15:46Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tatu ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla huko katika nchi za Magharibi.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-4
Sep 02, 2017 15:42Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya nne ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-2
Sep 02, 2017 15:13Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya pili ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla huko katika nchi za Magharibi.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-1
Sep 02, 2017 14:50Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya kwanza ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla huko katika nchi za Magharibi.
-
Madhara ya kuenezwa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
Aug 28, 2017 15:30Kuongezeka wimbi la vyombo vya habari vinavyoeneza chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya kumewaweka katika wakati mgumu sana Waislamu barani humo kiasi kwamba uchunguzi wa hivi karibuni wa maoni unaonesha kuwa, kati ya kila watu watano wa barani Ulaya, mmoja anachukia kuwa na jirani Muislamu.
-
Trump: Waueni Waislamu kwa risasi zilizotumbukizwa kwenye damu ya nguruwe
Aug 18, 2017 08:09Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa kutoa kauli za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu, Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi yanayoashiria kutaka baadhi ya waumini wa Kiislamu kuuawa kwa kutumia risasi zilizotumbukizwa kwenye damu ya nguruwe.
-
Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani
Apr 26, 2017 13:20Matukio yanayohusiana na chuki dhidi ya dini Tukufu ya Uislamu yameongezeka kwa asilimia elfu moja nchini Marekani.
-
Umoja wa Mataifa wawashutumu wanaoeneza uongo kuhusu Uislamu
Mar 29, 2017 14:18Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewashutumu watu wanaoeneza propaganda chafu dhidi ya Uislamu ambao wanajaribu kuihusisha dini hiyo na vitendo vya kigaidi.
-
Maelfu waandamana London, Uingereza kulaani chuki dhidi ya Uislamu
Mar 19, 2017 07:46Maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Uingereza, London kushiriki maandamano ya kulaani chuki na uenezaji hofu dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.