-
Rais wa Cuba: Muqawama wa taifa la Palestina ni mapambano bora zaidi duniani
Feb 03, 2025 02:31Rais Wa cuba amesema kuwa, muqawama wa taifa la Palestina ni mapambano bora zaidi duniani.
-
Iran: Kuzishutumu nchi huru bila ya sababu ni kuendeleza uvunjaji wa sheria
Jan 24, 2025 03:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, tuhuma ya Marekani dhidi ya Cuba na kuliingiza tena jina la nchi hiyo katika orodha ya mataifa yanayodaiwa kuunga mkono ugaidi ni hatua ya kipuuzi na isiyokubalika kabisa.
-
Cuba yaungana na kesi ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Jan 15, 2025 10:55Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imetangaza kuwa Cuba imewasilisha ombi la kujiunga na kesi ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo katika Ukanda wa Gaza.
-
Besigye kushtakiwa katika Mahakama ya Kijeshi Uganda kwa kosa la uhaini lenye hukumu ya kifo
Jan 15, 2025 02:46Mahakama ya Kijeshi ya Uganda imetangaza kuwa, kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo Daktari Kizza Besigye atafikishwa mahakamani kujibu shtaka zito la uhaini, ambalo linamuongezea matatizo ya kisheria mwanasiasa huyo kuelekea uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika 2026.
-
Cuba: Tuko pamoja na wananchi na serikali ya Syria
Dec 02, 2024 12:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba ametangaza kuwa nchi hiyo inatangaza mshikamano wake na iko pamoja na wananchi na serikali ya Syria kufuatia kushtadi hujuma za karibuni za makundi ya kigaidi katika ardhi ya Syria.
-
Abbas Araghchi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono Cuba dhidi ya vikwazo vya Marekani
Sep 22, 2024 07:20Abbas Araghchi, Waziri Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ikiwa mmoja wa wahanga wakuu wa vikwazo vya Marekani, inaelewa kikamilifu hali ya watu wa Cuba, hivyo inaiunga mkono nchi hiyo dhidi ya vikwazo vya nchi hiyo ya Magharibi.
-
Iran: Kupanuka jinai za Wazayuni ni tishio kwa amani na usalama wa dunia
Jul 29, 2024 12:53Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kupanuka na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza ni tishio kwa amani na usalama wa eneo la Maghahribi mwa Asia na dunia.
-
Cuba kujiunga rasmi kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel ICJ
Jun 22, 2024 11:18Cuba imetangaza kutuma ombi la kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai dhidi ya binadamu katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais wa Cuba: Shambulio la Israel dhidi ya Rafah ni jinai kubwa dhidi ya ubinadamu
May 31, 2024 02:30Rais wa Cuba ameulaani utawala wa Kizayuni kwa kuishambulia kwa mabomu kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika mji wa Rafah wa Ukanda wa Gaza, na kutaka kuchukuliwa hatua za kimataifa ili kuzima mashambulizi ya utawala huo ghasibu.
-
Jumatatu, 22 Aprili, 2024
Apr 24, 2024 06:52Leo ni Jumatatu tarehe 13 Mfunguo Mosi Shawwal 1445 Hijria sawa na tarehe 22 Aprili 2024.