Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • Cuba: Tuko pamoja na wananchi na serikali ya Syria

    Cuba: Tuko pamoja na wananchi na serikali ya Syria

    Dec 02, 2024 12:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba ametangaza kuwa nchi hiyo inatangaza mshikamano wake na iko pamoja na wananchi na serikali ya Syria kufuatia kushtadi hujuma za karibuni za makundi ya kigaidi katika ardhi ya Syria.

  • Abbas Araghchi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono Cuba dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Abbas Araghchi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono Cuba dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Sep 22, 2024 07:20

    Abbas Araghchi, Waziri Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ikiwa mmoja wa wahanga wakuu wa vikwazo vya Marekani, inaelewa kikamilifu hali ya watu wa Cuba, hivyo inaiunga mkono nchi hiyo dhidi ya vikwazo vya nchi hiyo ya Magharibi.

  • Iran: Kupanuka jinai za Wazayuni ni tishio kwa amani na usalama wa dunia

    Iran: Kupanuka jinai za Wazayuni ni tishio kwa amani na usalama wa dunia

    Jul 29, 2024 12:53

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kupanuka na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza ni tishio kwa amani na usalama wa eneo la Maghahribi mwa Asia na dunia.

  • Cuba kujiunga rasmi kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel ICJ

    Cuba kujiunga rasmi kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel ICJ

    Jun 22, 2024 11:18

    Cuba imetangaza kutuma ombi la kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai dhidi ya binadamu katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais wa Cuba: Shambulio la Israel dhidi ya Rafah ni jinai kubwa dhidi ya ubinadamu

    Rais wa Cuba: Shambulio la Israel dhidi ya Rafah ni jinai kubwa dhidi ya ubinadamu

    May 31, 2024 02:30

    Rais wa Cuba ameulaani utawala wa Kizayuni kwa kuishambulia kwa mabomu kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika mji wa Rafah wa Ukanda wa Gaza, na kutaka kuchukuliwa hatua za kimataifa ili kuzima mashambulizi ya utawala huo ghasibu.

  • Jumatatu, 22 Aprili, 2024

    Jumatatu, 22 Aprili, 2024

    Apr 24, 2024 06:52

    Leo ni Jumatatu tarehe 13 Mfunguo Mosi Shawwal 1445 Hijria sawa na tarehe 22 Aprili 2024.

  • Wananchi wa Cuba wataka kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza

    Wananchi wa Cuba wataka kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza

    Mar 02, 2024 11:50

    Wananchi wa Cuba wameungana na mamilioni ya wengine katika maandamano ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, sambamba na kuonyesha uungaji mkono kwa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, ambao wanakabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari vya utawala dhalimu wa Israel.

  • Cuba yalaani sera za mauaji ya kimbari za utawala haramu wa Israel

    Cuba yalaani sera za mauaji ya kimbari za utawala haramu wa Israel

    Feb 23, 2024 11:22

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Cuba amelaani kuendelea uvamizi na mauaji ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na kusema: Israel imepitisha "sera ya kuwaangamiza" wananchi wa Palestina.

  • Umoja wa Mataifa: Idadi ya raia waliouawa huko Gaza haijawahi kushuhudiwa

    Umoja wa Mataifa: Idadi ya raia waliouawa huko Gaza haijawahi kushuhudiwa

    Feb 16, 2024 02:43

    Mkuu wa Kitengo cha Asia Magharibi katika Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema: Idadi ya raia na waandishi wa habari waliouawa huko Gaza haina mfano.

  • Cuba yaunga mkono kesi iliyofunguliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Cuba yaunga mkono kesi iliyofunguliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Jan 18, 2024 09:31

    Bruno Rodríguez Parrilla Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amesema kuwa Havana inaunga mkono mashtaka yaliyowasilishwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuhusu mauaji ya kimbari yaliyofanywa na utawala wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS