Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • Cuba yaunga mkono kesi iliyofunguliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Cuba yaunga mkono kesi iliyofunguliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Jan 18, 2024 09:31

    Bruno Rodríguez Parrilla Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amesema kuwa Havana inaunga mkono mashtaka yaliyowasilishwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuhusu mauaji ya kimbari yaliyofanywa na utawala wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.

  • Jumatatu, tarehe Mosi Januari, 2024

    Jumatatu, tarehe Mosi Januari, 2024

    Jan 01, 2024 02:25

    Leo ni Jumatatu tarehe 18 Jamadithani 1445 Hijria sawa na tarehe Mosi Januari 2024.

  • Rais wa Cuba: Mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza ni fedheha kubwa

    Rais wa Cuba: Mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza ni fedheha kubwa

    Dec 28, 2023 04:22

    Rais Miguel Diaz-Canel wa Cuba amelaani vikali mauaji ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kueleza kwamba, mauaji hayo ya kimbari ni kashfa na fedheha kwa ubinadamu.

  • Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran

    Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran

    Dec 04, 2023 02:59

    Rais wa Jamhuri ya Cuba ambaye anangoza ujumbe wa ngazi ya juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake amefanya safari mjini Tehran kwa mwaliko rasmi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Makumi ya maelfu ya Wacuba waandamana kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Makumi ya maelfu ya Wacuba waandamana kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Nov 24, 2023 06:55

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Cuba wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Havana kuwaunga mkono wananchi wa Palestina.

  • Balozi wa Cuba: Israel ndiye gaidi halisi

    Balozi wa Cuba: Israel ndiye gaidi halisi

    Nov 04, 2023 03:02

    Balozi wa Cuba mjini Tehran sanjari na kulaani jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, ameutaja utawala huo wa Kizayuni wa Israel kuwa utawala wa kigaidi.

  • Castro asisitiza kuwa zama za maamuzi ya upande mmoja duniani zimeyoyoma na kumalizika

    Castro asisitiza kuwa zama za maamuzi ya upande mmoja duniani zimeyoyoma na kumalizika

    Jun 16, 2023 11:44

    Rais wa zamani wa Cuba amesisitiza kwamba zama za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja duniani zimeyoyoma na kwamba sasa dunia inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa.

  • Raisi: Kuimarika ushirikiano wa Iran na Cuba kunawahamakisha mabeberu

    Raisi: Kuimarika ushirikiano wa Iran na Cuba kunawahamakisha mabeberu

    Jun 16, 2023 03:01

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema hatua ya kuendelea kuimarika na kupanuka ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Cuba inayahamakisha madola ya kibeberu na ya kiistikbari duniani.

  • Rais wa Iran kutembelea Venezuela, Nicaragua na Cuba

    Rais wa Iran kutembelea Venezuela, Nicaragua na Cuba

    Jun 07, 2023 10:24

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni atafanya ziara katika nchi tatu za Venezuela, Nicaragua na Cuba kwa lengo la kuimarisha uhusiano na nchi rafiki na kupanua kiwango cha ushirikiano wa kiuchumi, kisiasa na kisayansi na nchi hizo.

  • Jumamosi, 20 Mei, 2023

    Jumamosi, 20 Mei, 2023

    May 20, 2023 02:14

    Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria mwafaka na tarehe 20 Mei, 2023 Miladiia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS