-
Balozi wa Cuba: Israel ndiye gaidi halisi
Nov 03, 2023 23:32Balozi wa Cuba mjini Tehran sanjari na kulaani jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, ameutaja utawala huo wa Kizayuni wa Israel kuwa utawala wa kigaidi.
-
Castro asisitiza kuwa zama za maamuzi ya upande mmoja duniani zimeyoyoma na kumalizika
Jun 16, 2023 08:14Rais wa zamani wa Cuba amesisitiza kwamba zama za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja duniani zimeyoyoma na kwamba sasa dunia inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa.
-
Raisi: Kuimarika ushirikiano wa Iran na Cuba kunawahamakisha mabeberu
Jun 15, 2023 23:31Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema hatua ya kuendelea kuimarika na kupanuka ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Cuba inayahamakisha madola ya kibeberu na ya kiistikbari duniani.
-
Rais wa Iran kutembelea Venezuela, Nicaragua na Cuba
Jun 07, 2023 06:54Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni atafanya ziara katika nchi tatu za Venezuela, Nicaragua na Cuba kwa lengo la kuimarisha uhusiano na nchi rafiki na kupanua kiwango cha ushirikiano wa kiuchumi, kisiasa na kisayansi na nchi hizo.
-
Jumamosi, 20 Mei, 2023
May 19, 2023 22:44Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria mwafaka na tarehe 20 Mei, 2023 Miladiia.
-
Ijumaa tarehe 20 Mei mwaka 2022
May 19, 2022 20:48leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na Mei 20 mwaka 2022.
-
Ijumaa tarehe 22 Aprili 2022
Apr 21, 2022 21:24Leo ni Ijumaa tarehe 20 Ramadhani 1443 Hijria sawa na Aperili 22 mwaka 2022.
-
Jumamosi, Mosi Januari, 2022
Dec 31, 2021 23:24Leo ni Jumamosi tarehe 27 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1443 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Januari 2022 Miladia.
-
Alkhamisi tarehe 20 Mei mwaka 2021
May 20, 2021 01:15Leo ni Alkhamisi tarehe 8 Shawwal 1442 Hijria sawa na tarehe 20 Mei mwaka 2021.
-
Bunge la Cuba lautaka utawala wa Kizayuni uache kuwashambulia Wapalestina
May 16, 2021 07:37Kamisheni ya Uhusiano wa Kimataifa ya Bunge la Cuba imelaani jinai na mashambulio ya kikatili yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wasio na hatia na kuitaka Israel ikomeshe ukatili wake huo.