Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran

    Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran

    Dec 03, 2023 23:29

    Rais wa Jamhuri ya Cuba ambaye anangoza ujumbe wa ngazi ya juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake amefanya safari mjini Tehran kwa mwaliko rasmi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Makumi ya maelfu ya Wacuba waandamana kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Makumi ya maelfu ya Wacuba waandamana kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Nov 24, 2023 03:25

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Cuba wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Havana kuwaunga mkono wananchi wa Palestina.

  • Balozi wa Cuba: Israel ndiye gaidi halisi

    Balozi wa Cuba: Israel ndiye gaidi halisi

    Nov 03, 2023 23:32

    Balozi wa Cuba mjini Tehran sanjari na kulaani jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, ameutaja utawala huo wa Kizayuni wa Israel kuwa utawala wa kigaidi.

  • Castro asisitiza kuwa zama za maamuzi ya upande mmoja duniani zimeyoyoma na kumalizika

    Castro asisitiza kuwa zama za maamuzi ya upande mmoja duniani zimeyoyoma na kumalizika

    Jun 16, 2023 08:14

    Rais wa zamani wa Cuba amesisitiza kwamba zama za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja duniani zimeyoyoma na kwamba sasa dunia inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa.

  • Raisi: Kuimarika ushirikiano wa Iran na Cuba kunawahamakisha mabeberu

    Raisi: Kuimarika ushirikiano wa Iran na Cuba kunawahamakisha mabeberu

    Jun 15, 2023 23:31

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema hatua ya kuendelea kuimarika na kupanuka ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Cuba inayahamakisha madola ya kibeberu na ya kiistikbari duniani.

  • Rais wa Iran kutembelea Venezuela, Nicaragua na Cuba

    Rais wa Iran kutembelea Venezuela, Nicaragua na Cuba

    Jun 07, 2023 06:54

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni atafanya ziara katika nchi tatu za Venezuela, Nicaragua na Cuba kwa lengo la kuimarisha uhusiano na nchi rafiki na kupanua kiwango cha ushirikiano wa kiuchumi, kisiasa na kisayansi na nchi hizo.

  • Jumamosi, 20 Mei, 2023

    Jumamosi, 20 Mei, 2023

    May 19, 2023 22:44

    Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria mwafaka na tarehe 20 Mei, 2023 Miladiia.

  • Ijumaa tarehe 20 Mei mwaka 2022

    Ijumaa tarehe 20 Mei mwaka 2022

    May 19, 2022 20:48

    leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na Mei 20 mwaka 2022.

  • Ijumaa tarehe 22 Aprili 2022

    Ijumaa tarehe 22 Aprili 2022

    Apr 21, 2022 21:24

    Leo ni Ijumaa tarehe 20 Ramadhani 1443 Hijria sawa na Aperili 22 mwaka 2022.

  • Jumamosi, Mosi Januari, 2022

    Jumamosi, Mosi Januari, 2022

    Dec 31, 2021 23:24

    Leo ni Jumamosi tarehe 27 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1443 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Januari 2022 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS