Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • Umoja wa Afrika waitaka Marekani ihitimishe vikwazo na mzingiro dhidi ya Cuba

    Umoja wa Afrika waitaka Marekani ihitimishe vikwazo na mzingiro dhidi ya Cuba

    Feb 09, 2021 06:27

    Umoja wa Afrika umetaka kuhitimishwa vikwazo na mzingiro wa kiuchumi, kibiashara na kifedha iliowekewa Cuba kupitia amri ya utekelezaji iliyosainiwa mwaka 1962 na aliyekuwa rais wa wakati huo wa Marekani John F. Kennedy.

  • Hatua mpya ya serikali ya Trump dhidi ya Cuba

    Hatua mpya ya serikali ya Trump dhidi ya Cuba

    Jan 13, 2021 10:30

    Ikiwa ni katika kudumisha siasa zake za uhasama dhidi ya serikali za mrengo wa kushoto katika eneo la Amerika ya Latini, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine imelirejesha jina la Cuba katika orodha ya nchi zinazodaiwa kuunga mkono ugaidi.

  • Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'

    Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'

    Jan 13, 2021 08:12

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani kuiweka Cuba katika orodha ya nchi ambazo eti zinaunga mkono ugaidi. Iran aidha imesema inafungamana na Cuba katika mapamano yake dhidi ya madola ya kibeberu duniani.

  • Chanjo ya corona ya Iran na Cuba yapasi majaribio ya awali ya mwanadamu

    Chanjo ya corona ya Iran na Cuba yapasi majaribio ya awali ya mwanadamu

    Jan 11, 2021 08:06

    Mshauri wa Waziri wa Afya wa Iran ametangaza habari ya kufanyika kwa mafanikio hatua ya awali ya majaribio ya mwanadamu ya chanjo ya COVID-19 iliyotengenezwa na Iran kwa kushirikiana na Cuba.

  • Ijumaa, 01 Januari, 2021

    Ijumaa, 01 Januari, 2021

    Jan 01, 2021 02:30

    Leo ni Ijumaa tarehe 17 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Januari mwaka 2021 Miladia

  • Jumatano, Pili Disemba, 2020

    Jumatano, Pili Disemba, 2020

    Dec 02, 2020 02:24

    Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1442 Hijria sawa na tarehe Pili Disemba 2020 Miladia.

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana

    Nov 07, 2020 07:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambaye yuko nchini Cuba kwa ziara rasmi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Cuba Bruno Rodriguez.

  • Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Oct 09, 2020 02:37

    Serikali za Somalia na Cuba zimekanusha madai ya kuachiwa huru madaktari wawili wa Cuba waliotekwa nyara na kundi la kigaidi la al-Shabaab mwaka jana nchini Kenya.

  • Cuba na Venezuala zalaani ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi

    Cuba na Venezuala zalaani ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi

    May 31, 2020 04:22

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Cuba na Venezula wamelaani vikali ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi pamoja na ujumbe wa kuchochea utumiaji mabavu alioutoa Rais Donald Trump.

  • Jumatano, tarehe 20 Mei, 2020

    Jumatano, tarehe 20 Mei, 2020

    May 20, 2020 00:56

    Leo ni Jumatano tarehe 26 Ramadhan mwaka 1441 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 20 Mei mwaka 2020 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS