-
Umoja wa Afrika waitaka Marekani ihitimishe vikwazo na mzingiro dhidi ya Cuba
Feb 09, 2021 06:27Umoja wa Afrika umetaka kuhitimishwa vikwazo na mzingiro wa kiuchumi, kibiashara na kifedha iliowekewa Cuba kupitia amri ya utekelezaji iliyosainiwa mwaka 1962 na aliyekuwa rais wa wakati huo wa Marekani John F. Kennedy.
-
Hatua mpya ya serikali ya Trump dhidi ya Cuba
Jan 13, 2021 10:30Ikiwa ni katika kudumisha siasa zake za uhasama dhidi ya serikali za mrengo wa kushoto katika eneo la Amerika ya Latini, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine imelirejesha jina la Cuba katika orodha ya nchi zinazodaiwa kuunga mkono ugaidi.
-
Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'
Jan 13, 2021 08:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani kuiweka Cuba katika orodha ya nchi ambazo eti zinaunga mkono ugaidi. Iran aidha imesema inafungamana na Cuba katika mapamano yake dhidi ya madola ya kibeberu duniani.
-
Chanjo ya corona ya Iran na Cuba yapasi majaribio ya awali ya mwanadamu
Jan 11, 2021 08:06Mshauri wa Waziri wa Afya wa Iran ametangaza habari ya kufanyika kwa mafanikio hatua ya awali ya majaribio ya mwanadamu ya chanjo ya COVID-19 iliyotengenezwa na Iran kwa kushirikiana na Cuba.
-
Ijumaa, 01 Januari, 2021
Jan 01, 2021 02:30Leo ni Ijumaa tarehe 17 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Januari mwaka 2021 Miladia
-
Jumatano, Pili Disemba, 2020
Dec 02, 2020 02:24Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1442 Hijria sawa na tarehe Pili Disemba 2020 Miladia.
-
Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana
Nov 07, 2020 07:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambaye yuko nchini Cuba kwa ziara rasmi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Cuba Bruno Rodriguez.
-
Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab
Oct 09, 2020 02:37Serikali za Somalia na Cuba zimekanusha madai ya kuachiwa huru madaktari wawili wa Cuba waliotekwa nyara na kundi la kigaidi la al-Shabaab mwaka jana nchini Kenya.
-
Cuba na Venezuala zalaani ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi
May 31, 2020 04:22Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Cuba na Venezula wamelaani vikali ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi pamoja na ujumbe wa kuchochea utumiaji mabavu alioutoa Rais Donald Trump.
-
Jumatano, tarehe 20 Mei, 2020
May 20, 2020 00:56Leo ni Jumatano tarehe 26 Ramadhan mwaka 1441 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 20 Mei mwaka 2020 Miladia.