-
Jumatatu tarehe 3 Februari mwaka 2020
Feb 03, 2020 02:30Leo ni Jumatatu tarehe 8 Jamathani 1441 Hijria sawa na Februari 3 mwaka 2020.
-
Kuendelea mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela; kuwekewa Caracas vikwazo vipya
Dec 05, 2019 07:13Serikali ya Marekani imeendeleza mashinikizo yake dhidi ya Venezuela ambapo imeiwekea nchi hiyo vikwazo vipya katika sekta ya viwanda na biashara ya mafuta.
-
Jumatatu tarehe 2 Disemba 2019
Dec 02, 2019 02:36Leo ni Jumatatu tarehe 5 Rabiuthani 1441 Hijria sawa na tarehe 2 Disemba 2019.
-
Vikwazo vya Marekani; uchokozi wa wazi dhidi ya nchi nyingine
Oct 06, 2019 11:12Mashinikizo ya Marekani dhidi ya Cuba na Venezuela yanazidi kushtadi, huku nchi hizo zikiwa zinaendelea kushikamana na malengo yao na kusisitizia juu ya kuimarishwa ushikamano wao.
-
Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine
Sep 28, 2019 07:59Marekani ina rekodi kubwa zaidi ya kutumia aina mbali mbali za vikwazo dhidi ya nchi zingine kwa ajili ya kufikia malengo ya siasa zake za nje. Ushadidishaji vikwazo unaofanywa na Washington katika kipindi cha urais wa Donald Trump umekuwa ukipingwa na kulaaniwa kimataifa. Pamoja na hayo kinachoendelea kushuhudiwa kila uchao ni kutangazwa vikwazo vingine vipya vya Marekani dhidi ya nchi zingine duniani.
-
Safari ya Mogherini mjini Havana; sisitizo la ustawishaji uhusiano na Cuba
Sep 10, 2019 02:35Umoja wa Ulaya daima umekuwa ukisisitiza kuhusu kuimarisha uhusiano na Cuba, msimamo ambao unakinzana na sera za Marekani. Katika fremu hiyo Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini Jumapili aliwasili Havana, mji mkuu wa Cuba kwa lengo la kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Bruno Eduardo Rodríguez pamoja na maafisa wengine wa ngazi za juu nchini humo.
-
Zarif: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani walenga watu wa kawaida
Sep 06, 2019 12:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya nchi huru unalenga kuwadhuru watu wa kawaida."
-
Viongozi wa Venezuela, Cuba wajadili njia za kukabiliana na Marekani
Jun 08, 2019 11:51Makamo wa Rais wa chama tawala cha Venezuela Diosdado Cabello amekutana na kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha Cuba, Raul Castro kwa lengo la kujadili njia za kukabiliana na uhasama wa Marekani dhidi ya nchi zao.
-
Jumatatu, Mei 20, 2019
May 20, 2019 01:18Leo ni Jumatatu tarehe 14 Ramadhani mwaka 1440 Hijria, mwafaka na tarehe 20 Mei mwaka 2019 Miladia.
-
Uingiliaji wa Marekani ni chanzo za vurugu na ukosefu wa usalama katika eneo
May 14, 2019 04:18Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesisitiza kuhusu ulazima wa kusimama kidete kukabiliana na utumiaji mabavu na sera za maamuzi ya upande mmoja za Marekani duniani.