-
Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mara moja 'mauaji ya kiholela' huko Darfur, Sudan
Jun 25, 2023 11:51Umoja wa Mataifa umetaka kusitishwa haraka iwezekanavyo mauaji ya kiholela ya raia wanaokimbia mapigano huko Darfur magharibi mwa Sudan. Umoja wa Mataifa umesema kuwa maelfu ya miili ya watu ambayo haijazikwa imesalia mitaani na ndani ya nyumba katika jimbo hilo lililoathiriwa na vita.
-
Watu 24 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan
Apr 14, 2023 02:28Serikali ya Sudan imetangaza kuwa itachukua hatua kuunda jimbo jipya huko Darfur magharibi mwa nchi hiyo fikapo mwishoni mwa mwaka huu; eneo linalopakana na Chad na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Watu 200 wauawa katika jimbo la Darfur, jeshi la Sudan linatuhumiwa kuhusika
Apr 27, 2022 03:48Zaidi ya watu 200 wameuawa huko Darfur, magharibi mwa Sudan kwenye mpaka wa nchi hiyo na Chad, katika mapigano mapya ambayo yalianza hapa na pale katika eneo hilo na baadaye yakageuka kuwa mapigano makali.
-
Watu 160 wauawa katika mapigano mapya Darfur, Sudan
Apr 25, 2022 10:40Watu wasiopungua 160 wameuawa katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan baada ya kuibuka mapigano baina ya makundi mawili hasimu.
-
Mapigano ya kikabila Darfur yasababisha vifo vya makumi ya watu
Apr 01, 2022 10:25Mapigano makali kati ya makundi hasimu huko Darfur nchini Sudan yamesababisha takriban watu 45 kuuawa, huku viongozi wa kikabila wakiripoti kwamba mapigano hayo ni sehemu ya ghasia za kikabila zinazoendelea katika eneo hilo.
-
Watu 16 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan
Mar 09, 2022 10:22Watu wasiopungua 16 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.
-
Bensouda aitaka Sudan iikabidhi ICC watuhumiwa wa jinai za Darfur
Jun 10, 2021 12:28Kwa mara nyingine tena, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amewataka maafisa wa serikali ya Sudan kuwakabidhi watuhumiwa wa jinai za kivita katika eneo la Darfur kwa mahakama hiyo, akiwemo rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar Hassan al Bashir.
-
Mshukiwa wa Sudan anayesakwa kwa jinai za Darfur afadhilisha ICC
May 05, 2021 06:18Afisa wa zamani wa serikali ya Sudan anayetuhumiwa kuhusika na jinai zilizofanyika katika eneo la Darfur amesema anafadhilisha kufikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC badala ya faili lake kusikilizwa nchini Sudan.
-
Khartoum yatuma zana za kijeshi katika jimbo la Darfur
Jan 31, 2021 12:18Serikali ya Sudan imesema kuwa imetuma zana za kijeshi na askari jeshi wa radiamali ya haraka katika jimbo la Darfur ya Kusini ili kudumisha amani na kuwalinda raia katika eneo hilo.
-
Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu mapigano ya Darfur chamalizika bila ya natija
Jan 23, 2021 05:02Kikao cha faragha cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoitishwa kujadili mapigano ya karibuni katika eneo la Darfur maagharibi mwa Sudan kimemalizika bila ya natija.