• Trump: Ukweli, Marekani inachukiwa sana duniani

    Trump: Ukweli, Marekani inachukiwa sana duniani

    Oct 22, 2016 12:27

    Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais Marekani utakaofanyika nchini humo siku chache zijazo, amesema, nchi hiyo inachukiwa sana duniani.

  • Mdahalo wa mwisho wa Trump na Clinton, mbio za uchaguzi wa rais Marekani

    Mdahalo wa mwisho wa Trump na Clinton, mbio za uchaguzi wa rais Marekani

    Oct 20, 2016 23:02

    Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa televisheni wa wagombea uchaguzi wa rais Marekani kwa mara nyingine tena umegubikwa na utata huku mada kuu zikiwa ni kufichuliwa nyaraka za WikiLeaks zinazomhusu mgombea wa chama cha Democrat Hillary Clinton, wahamiaji, sera za kigeni na kashfa za kimaadli za Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican.

  • UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa

    UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa

    Oct 12, 2016 12:24

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican atashinda katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani, jambo hilo litakuwa hatari kubwa kwa dunia nzima.

  • Wamarekani wengi wahofia wizi wa kura katika uchaguzi wa rais

    Wamarekani wengi wahofia wizi wa kura katika uchaguzi wa rais

    Oct 03, 2016 00:31

    Wamarekani waliowengi wana hofu kuwa kutajiri wizi wa kura katika uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika tarehe 8 mwezi ujao wa Novemba.

  • UN yawakosoa wanasiasa wanaohujumu Uislamu

    UN yawakosoa wanasiasa wanaohujumu Uislamu

    Sep 06, 2016 11:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amewashambulia wanasiasa wanaohujumu Uislamu kama Donald Trump na mwenzake wa Uholanzi, Geert Wilders akisema kuwa ni walaghai na vidhabadhabina vya kisiasa.

  • Trump: Obama na Hillary Clinton waliunda kundi la kigaidi la Daesh

    Trump: Obama na Hillary Clinton waliunda kundi la kigaidi la Daesh

    Aug 11, 2016 03:27

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump amesema kuwa, Rais Barack Obama na waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo Hillary Clinton ndio walioanzisha kundi la kigaidi la Daesh.

  • Chama cha Kinazi Marekani: Trump ni 'fursa halisi'

    Chama cha Kinazi Marekani: Trump ni 'fursa halisi'

    Aug 08, 2016 10:13

    Kiongozi mmoja wa chama cha Kinazi nchini Marekani amesema kuwepo Donald Trump, mgombea urais wa nchi hiyo kwa tiketi ya chama cha Republicans ni "fursa halisi" katika uchaguzi huo kwa waungaji mkono wa fikra ya ubora wa kizazi cha watu weupe.

  • Trump ataka kuchunguzwa ustahiki wa raia wa Ufaransa na Ujerumani

    Trump ataka kuchunguzwa ustahiki wa raia wa Ufaransa na Ujerumani

    Jul 24, 2016 08:49

    Donald Trump mgombea wa kiti cha urais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani ametaka kuchunguzwa ustahiki wa raia wa Ufaransa na Ujerumani.

  • IOM yakosoa matamshi ya Trump dhidi ya wageni

    IOM yakosoa matamshi ya Trump dhidi ya wageni

    Jul 23, 2016 22:22

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limeeleza wasiwasi wake kuhusu matamshi yaliyotolewa na mgombea kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Ttrump kuhusu raia wa kigeni na kusema matamshi hayo yanachochea chuki dhidi ya wageni.