-
Guterres atahadharisha kuhusu vitisho vya mfumo wa kambi kadhaa
Dec 18, 2018 03:15Baada ya kusambaratika Urusi ya zamani na kumalizika kipindi cha Vita Baridi hapo mwaka 1991 mfumo wa kambi mbili za Mashariki na Magharibi pia ulitoweka na kumalizika.
-
Marekani yachukua mateka katika vita vyake vya kibiashara na China
Dec 12, 2018 22:58Baada ya Donald Trump kuingia madarakani kama rais wa Marekani Januari mwaka 2017, amekuwa akifuatilia sera hasimu na zenye utata kuhusu China na hivyo kuwaibulia wakuu wa China changamoto kadhaa. Moja ya sera ambazo Trump ametekeleza ni kuongeza ushuru wa forodha kwa bidhaa kutoka China na kwa njia hiyo kutangaza rasmi vita vya kibiashara dhidi ya China.
-
Republican yaikosoa Google kwa 'kuanika upumbavu wa Trump'
Dec 12, 2018 04:02Mbunge wa chama cha Rebublican nchini Marekani amemjia juu Ofisa Mkuu Mtendaji wa shirika la intaneti la Google, na kumtaka afafanue kwa nini kila akitafuta neno 'mpumbavu' kwenye mtandao huo, picha zinazokuja ni za Rais Donald Trump.
-
Trump akejeli maandamano ya Ufaransa, asema eti Wafaransa wanataka rais kama yeye
Dec 08, 2018 23:23Katika kile kinachoonekana ni kukejeli maandamano ya wananchi wa Ufaransa wanaopinga mfumo wa kibepari, rais wa Marekani Donald Trump amedai kuwa maandamano hayo ni ya kuunga mkono siasa zake za mazingira na tabianchi.
-
Mbunge Mwislamu wa Kongresi ya Marekani: Trump ni mbaguzi wa rangi
Dec 07, 2018 04:05Mbunge mpya Mwislamu wa Kongresi ya Marekani amesema kuwa, Rais Donald Trump wa nchi hiyo ni mbaguzi.
-
Kwa mara nyingine Trump aiomba Kongresi imruhusu kujenga ukuta mpakani
Dec 04, 2018 04:04Rais wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo itatumia mabilioni ya dola kwa ajili ya kujenga ukuta katika mipaka ya nchi hiyo na Mexico iwapo Wademocrat katika kongresi ya nchi hiyo wataafiki bajeti ya ujenzi huo.
-
Trump: CIA haina uwezo wa kuthibitisha kuwa Bin Salman amehusika kumuua Khashoggi
Nov 28, 2018 12:10Katika kuendelea uungaji mkono wa Rais Donald Trump wa Marekani kwa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia kuhusiana na jinai zinazomkabili, kiongozi huyo amedai kwamba Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) na mashirika mengine ya upelelezi ya nchi hiyo, hayawezi kuthibitisha kama mwanamfalme huyo amehusika katika mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud.
-
Sisitizo la Umoja wa Ulaya na Uturuki la kuendelea kushirikiana na Iran
Nov 24, 2018 08:18Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuiondoa nchi hiyo katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuiwekea tena Iran vikwazo imepingwa vikali na nchi nyingine wanachama wa makubaliano hayo ya JCPOA yaani kundi la 4+1.
-
Kurubuniwa tena Saudia na Trump; mara hii ni kulipa fadhila za kufumbiwa macho mauaji ya Khashoggi
Nov 23, 2018 04:47Msimamo laini wa Rais Donald Trump wa Marekani na ambao kwa hakika ni wa kufumbia macho taarifa za kuhusika Muhammad bin Salman, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia katika sakata la mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkosoaji wa utawala huo, kumezusha malalamiko na manung'uniko ya wabunge wengi wa Kongresi ya Marekani.
-
Mbunge wa Marekani: Trump ni kijakazi cha Saudia
Nov 22, 2018 11:22Mbunge wa Kongresi ya Marekani amemtaja rais wa nchi hiyo, Donald Trump kuwa ni kama kijakazi cha Saudi Arabia, kutokana na misimamo ya kuukingia kifua na kuutetea utawala wa Aal Saud.