-
Ebola yarejea DRC, mgonjwa apoteza maisha
Feb 08, 2021 04:16Wizara ya afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, imetangaza kupatikana kwa mgonjwa mpya wa Ebola kwenye mji wa Butembo jimboni Kivu Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa kitovu cha mlipuko wa 10 wa ugonjwa huo uliotangazwa kumalizika mwezi Juni mwaka jana.
-
Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo
Nov 18, 2020 08:28Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mlipuko wa 11 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, ambao umesababisha vifo vya watu 55 tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.
-
Mlipuko mpya wa Ebola waua watu 11 Kongo DR
Jun 15, 2020 11:12Huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiendelea kukabiliana na janga la sasa la virusi vya corona, mlipuko mpya wa virusi vya Ebola umeripotiwa katika mkoa wa magharibi mwa nchi wa Equateur.
-
Ugonjwa wa Ebola waripotiwa tena kaskazini magharibi mwa Congo DR
Jun 01, 2020 21:59Maafisa wa afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza kuwa, maambukizi ya ugonjwa wa Ebola yamerejea tena nchini humo.
-
Kesi nyingine mpya ya Ebola yaripotiwa DRC kabla ya siku chache za kutangazwa kumalizika kwake
Apr 11, 2020 02:24Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza habari ya kuthibitishwa kesi nyingine moja ya ugonjwa wa Ebola huko Jamhhuri ya Kidemokrasia ya Congo zikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya kutangazwa rasmi kumalizika kabisa ugonjwa huo nchini humo.
-
Mgonjwa wa mwisho Ebola arejea nyumbani DRC
Mar 05, 2020 07:51Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa mgonjwa wa mwisho wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ameruhisiwa kurejea nyumbani baada ya kupatiwa matibabu katika kituo cha matibabu huko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni.
-
WHO: Tusisahau Ebola wakati tunashughulikia Corona
Feb 13, 2020 08:22Shirika la Afya Duniani WHO limesema dunia ni lazima iendelee kufadhili vita dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola kwani kuzembea katika hilo kutaleta madhara makubwa.
-
Maambukizi ya ebola yaongezeka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Dec 13, 2019 04:34Maafisa wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema, maambukizi ya ugonjwa hatari wa ebola yameongezeka katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo.
-
WHO: Mapigano yanakwamisha mapambano dhidi ya Ebola Kongo DR
Nov 22, 2019 10:01Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa, vita na mapigano huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yanakwamisha jitihada za kutokomeza ugonjwa hatari wa Ebola ambao umeua maelfu ya watu kufikia sasa.
-
Congo yaanza kutoa chanjo mpya ya Ebola katika mji wa Goma
Nov 14, 2019 21:55Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mpaka (MSF) imetangaza kuwa maafisa wa afya wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameanza kutoa chanjo mpya ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola iliyotengenezwa na kampuni ya Johnson & Johnson.