-
WHO na Congo DR zataka kuwekwa sheria kali kuhusu wahudumu wa wagonjwa wa Ebola
Oct 31, 2019 09:22Shirika la Afya Dunia na maafisa wa serikali ya Congo DR wametoa mapendekezo ya kufanyika mabadiliko kuhusu jinsi ya kuwahudumia waathira wa ugonjwa wa Ebola.
-
Watu zaidi ya 60 waaga dunia kwa ugonjwa wa kutatanisha uliozuka kaskazini ya Nigeria
Oct 30, 2019 23:03Ugonjwa wa kutatanisha uliozuka katika jimbo la Katsina kaskazini mwa Nigeria umeua zaidi ya watu 60 katika jimbo hilo.
-
AU: Ebola imeua watu 2,150 kufikia sasa Kongo DR
Oct 22, 2019 04:28Umoja wa Afrika umesema idadi ya watu walioaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa homa hatari ya Ebola imefikia 2,150 tangu maradhi hayo yaripuke tena katika nchi hiyo Julai mwaka jana.
-
Malawi yakanusha kuwepo Ebola eneo linalopakana na Tanzania
Oct 16, 2019 01:08Malawi imekanusha ripoti zilizoenea kwamba mtu mmoja amegunduliwa kuwa na Ebola kwenye eneo la Karonga linalopakana na Tanzania.
-
WHO: Ebola imedhibitiwa katika vijiji vya Kongo DR
Oct 12, 2019 04:38Afisa wa ngazi za juu wa Shirika la Afya Duniani WHO amesema juhudi za kuvitokomeza kikamilifu virusi vya Ebola katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Kong zinaendelea kuzaa matunda.
-
Umoja wa Afrika wataka ushirikiano katika kukabiliana na ugonjwa wa Ebola
Oct 04, 2019 08:32Umoja wa Afrika umetoa mwito wa kuwepo ushirikiano zaidi kwa ajili ya kukabiliana na changamoto ya kuenea ugonjwa hatari wa Ebola.
-
Waliotibiwa ugonjwa wa Ebola wana hatari ya kukumbwa na maradhi ya figo na vifo vya haraka
Sep 05, 2019 21:58Watu waliookoka baada ya kutibiwa ugonjwa hatari wa Ebola wako katika hatari kubwa ya kufariki dunia kutokana na maradhi ya figo baada ya kupitisha mwaka mmoja tangu wanapotoka hospitalini. Taarifa hiyo ilitolewa jana Alkhamisi baada ya kufanyiwa uchunguzi watu hao nchini Guinea.
-
WHO yaipatia Uganda chanjo ya Ebola baada ya kifo cha mtoto
Aug 31, 2019 22:13Shirika la Afya Duniani (WHO) limeipati Uganda msaada wa dozi 300 za chanjo ya Ebola kwa ajili ya kuwapatia chanjo watu wote waliowasiliana na msichana mwenye umri wa miaka 9 aliyefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola katika wilaya ya Kasese inayopakana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Katibu Mkuu wa UN awasili Congo DR kujadili njia za kukabiliana na Ebola + Sauti
Aug 31, 2019 08:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili katika mji wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wa Goma kwa shabaha ya kutathmini na kuchunguza njia za kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola.
-
Kesi nyingine ya ugonjwa wa Ebola yathibitishwa nchini Uganda
Aug 30, 2019 22:32Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa msichana mmoja mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepatikana na virusi vya Ebola nchini Uganda. Wizara hiyo imesema kuwa, msichana huyo mwenye umri wa miaka 9, aliwasili nchini Uganda akitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingawa hata hivyo haikumtaja jina lake.