Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • DRC yadhibiti mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola

    DRC yadhibiti mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola

    May 03, 2021 21:03

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, miezi mitatu baada ya kesi ya kwanza kuripotiwa katika mkoa wa Kivu Kaskazini.

  • Afrika CDC: Ebola imeua watu 13 Kongo DR na Guinea

    Afrika CDC: Ebola imeua watu 13 Kongo DR na Guinea

    Mar 07, 2021 04:05

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika CDC kimesema idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Guinea imeongezeka na kufikia watu 13.

  • WHO  yaanza kutoa chanjo ya Ebola DRC

    WHO yaanza kutoa chanjo ya Ebola DRC

    Feb 19, 2021 23:40

    Shirika la Afya Duniani WHO limeanza zoezi la kutoa chanjo ya Ebola ili kukabiliana na mlipuko mpya wa ugonjwa huo nchini Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

  • Waliofariki kutokana na Ebola Guinea wafika 15

    Waliofariki kutokana na Ebola Guinea wafika 15

    Feb 16, 2021 22:57

    Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Ebola nchini Guinea sasa imeongezeka na kufikia watu watano huku waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa huo hatai wakiwa ni 15.

  • Mripuko mpya wa Ebola waripotiwa Guinea, watu 4 wapoteza maisha

    Mripuko mpya wa Ebola waripotiwa Guinea, watu 4 wapoteza maisha

    Feb 14, 2021 04:25

    Watu wanne wameripotiwa kuaga dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola katika eneo la Nzerekore, kusini mashariki mwa Guinea.

  • Kesi ya tatu ya Ebola yathibitishwa DRC huku watu 200 wakifuatiliwa

    Kesi ya tatu ya Ebola yathibitishwa DRC huku watu 200 wakifuatiliwa

    Feb 13, 2021 05:16

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kesi ya tatu ya ugonjwa wa Ebola katika mji wa Butembo jimboni Kivu Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa kitovu cha mlipuko wa 10 wa ugonjwa huo uliotangazwa kumalizika mwezi Juni mwaka jana.

  • Ebola yarejea DRC, mgonjwa apoteza maisha

    Ebola yarejea DRC, mgonjwa apoteza maisha

    Feb 08, 2021 04:16

    Wizara ya afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, imetangaza kupatikana kwa mgonjwa mpya wa Ebola kwenye mji wa Butembo jimboni Kivu Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa kitovu cha mlipuko wa 10 wa ugonjwa huo uliotangazwa kumalizika mwezi Juni mwaka jana.

  • Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo

    Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo

    Nov 18, 2020 08:28

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mlipuko wa 11 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, ambao umesababisha vifo vya watu 55 tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.

  • Mlipuko mpya wa Ebola waua watu 11 Kongo DR

    Mlipuko mpya wa Ebola waua watu 11 Kongo DR

    Jun 15, 2020 11:12

    Huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiendelea kukabiliana na janga la sasa la virusi vya corona, mlipuko mpya wa virusi vya Ebola umeripotiwa katika mkoa wa magharibi mwa nchi wa Equateur.

  • Ugonjwa wa Ebola waripotiwa tena kaskazini magharibi mwa Congo DR

    Ugonjwa wa Ebola waripotiwa tena kaskazini magharibi mwa Congo DR

    Jun 01, 2020 21:59

    Maafisa wa afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza kuwa, maambukizi ya ugonjwa wa Ebola yamerejea tena nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS