Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    Aug 30, 2019 22:17

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa, elimu ya wakimbizi iko hatarini na inaonesha kuwa kadiri watoto wakimbizi wanavyozidi kukua ndivyo vikwazo vya kupata elimu vinavyozidi kuongezeka.

  • Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Aug 30, 2019 03:30

    Wizara ya afya ya Uganda imetangaza kesi ya pili ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola katika eneo la Kasese, kilomita 472 kutoka mji mkuu wa Kampala, baada ya mgonjwa mmoja wa Ebola kuingia nchini humo kutoka nchi jirani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 200,000 wapata chanjo ya Ebola nchini DRC

    Watu 200,000 wapata chanjo ya Ebola nchini DRC

    Aug 25, 2019 21:48

    Watu zaidi ya 200,000 wamepata chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia (DRC) ya Kongo katika mwezi huu wa Agosti.

  • Burundi yaanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya

    Burundi yaanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya

    Aug 15, 2019 07:32

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa serikali ya Burundi imeanza kutoa chanjo ya virusi vya ugonjwa hatari wa Ebola kwa wahudumu wa afya hususan wale wanaofanyakazi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • SADC kuisaidia DRC kukabiliana ugonjwa wa Ebola

    SADC kuisaidia DRC kukabiliana ugonjwa wa Ebola

    Aug 13, 2019 02:39

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC zimeunganisha nguvu kuisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.

  • UN: Watu 86 wanaambukizwa Ebola kila wiki DRC

    UN: Watu 86 wanaambukizwa Ebola kila wiki DRC

    Aug 10, 2019 03:05

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Dunaini (WHO) limetangaza kuwa kwa wastani watu 86 wanaambukizwa ugonjwa wa Ebola kila wiki nchini Jamhuri ya Kdemokrasia ya Congo, DRC katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri.

  • Rwanda na DRC kushirikiana katika kukabiliana na Ebola

    Rwanda na DRC kushirikiana katika kukabiliana na Ebola

    Aug 07, 2019 07:02

    Serikali za Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimeazimia kushirikiana katika kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola.

  • Kesi 12 mpya za maradhi ya Ebola zaripotiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Kesi 12 mpya za maradhi ya Ebola zaripotiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Aug 03, 2019 22:38

    Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, kumegunduliwa kesi mpya 12 za maambukizi ya maradhi ya Ebola katika mji wa Goma.

  • Congo DR yazidisha jitihada za kudhibiti Ebola mashariki mwa nchi hiyo

    Congo DR yazidisha jitihada za kudhibiti Ebola mashariki mwa nchi hiyo

    Aug 03, 2019 07:14

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanzisha juhudi kubwa za kudhibiti ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola huko mashariki mwa nchi hiyo baada ya mchimba migodi mmoja aliyekuwa na familia kubwa kuaga dunia kutokana na homa ya ugonjwa huo katika mji wa Goma.

  • Wasiwasi wa kuenea tena maradhi ya Ebola watawala Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Wasiwasi wa kuenea tena maradhi ya Ebola watawala Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Aug 01, 2019 23:44

    Wasiwasi wa mlipuko mpya wa maradhi ya Ebola umetanda katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo baada ya kuripotiwa visa vitatu vipya vya maambukizi ya maradhi hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS