Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Kura za uchaguzi wa Bunge Ethiopia zaendelea kuhesabiwa, mahudhurio ya wananchi yalikuwa makubwa

    Kura za uchaguzi wa Bunge Ethiopia zaendelea kuhesabiwa, mahudhurio ya wananchi yalikuwa makubwa

    Jun 22, 2021 06:27

    Mchakato wa kuhesabu kura za uchaguzi wa Bunge na serikali za mitaa unaendelea nchini Ethiopia huku yombo vya usalama vikisema umefanyika kwa amani na usalama, ukitupilia mbali malalamiko machache ya hapa na pale.

  • Waethiopia wapiga kura katika uchaguzi muhimu wa Bunge

    Waethiopia wapiga kura katika uchaguzi muhimu wa Bunge

    Jun 21, 2021 06:03

    Mamilioni ya wananchi wa Ethiopia mapema leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kwa ajii ya kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la nchi hiyo, uchaguzi ambao umesusiwa na baadhi ya vyama vya upinzani.

  • Abiy aahidi uchaguzi wa amani; vyama vyamaliza kampeni kuelekea uchaguzi

    Abiy aahidi uchaguzi wa amani; vyama vyamaliza kampeni kuelekea uchaguzi

    Jun 17, 2021 08:47

    Vyama vya kisiasa vitakavyoshiriki katika uchaguzi wa bunge ulioakhirishwa mara mbili huko Ethiopia vimemaliza kampeni zao huku Waziri Mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed akiahidi kuendesha uchaguzi kwa amani kikamilifu. 

  • Ethiopia yapinga azimio la Arab League kuhusu Bwawa la Renaissance

    Ethiopia yapinga azimio la Arab League kuhusu Bwawa la Renaissance

    Jun 16, 2021 21:57

    Ethiopia imepinga na kukosoa vikali azimio lililopasishwa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu linalolitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liingilie kati mgogoro juu ya Bwawa la al-Nahdha.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya maelfu ya watoto eneo la Tigray huko Ethiopia

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya maelfu ya watoto eneo la Tigray huko Ethiopia

    Jun 11, 2021 22:21

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hali mbaya na mgogoro wa makumi ya maelfu ya watoto katika eneo la Tigray huko Kaskazini mwa Ethiopia ambalo kwa sasa linasumbuliwa na njaa.

  • Ripoti: Watu 350,000 wamekumbwa na baa la njaa huko Tigray nchini Ethiopia

    Ripoti: Watu 350,000 wamekumbwa na baa la njaa huko Tigray nchini Ethiopia

    Jun 10, 2021 21:43

    Kamati ya ngazi ya juu inayoongozwa na UN ambayo inajihusisha na kutafuta majibu ya haraka kwa mizozo ya kibinadamu inakadiria kwamba, karibu watu 350,000 katika mkoa wa Tigray uliokumbwa na vita huko Ethiopia wanasumbuliwa na baa la njaa.

  • Wanajeshi wa Ethiopia wamejizatiti katika mipaka ya mashariki mwa Sudan

    Wanajeshi wa Ethiopia wamejizatiti katika mipaka ya mashariki mwa Sudan

    Jun 09, 2021 22:01

    Maafisa wa kijeshi wa Sudan wameripoti kuwa, wanajeshi wa Ethiopia wamekusanyika katika mipaka ya nchi hiyo na Sudan.

  • UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray

    UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray

    Jun 09, 2021 03:47

    Wanajeshi wa Somalia wanaopata mafunzo ya kijeshi nchini Eritrea wanatuhumiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya watu katika eneo la Tigray, huko kaskazini mwa Ethiopia.

  • Eritrea yailaumu Marekani kwa kuchochea mapigano Tigray, Ethiopia

    Eritrea yailaumu Marekani kwa kuchochea mapigano Tigray, Ethiopia

    Jun 08, 2021 03:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Eritrea amezilaumu tawala za Marekani kwa kuchochea mapigano na vita katika eneo la Tigray, la kaskazini mwa Ethiopia kwa zaidi ya miongo miwili sasa.

  • Abiy Ahmed: Bwawa la Renaissance litazifaidisha pia Sudan na Misri

    Abiy Ahmed: Bwawa la Renaissance litazifaidisha pia Sudan na Misri

    Jun 07, 2021 08:22

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa ujenzi wa Bwawa la Renaissance utakuwa na faida si kwa nchi hiyo pekee bali pia kwa nchi za Misri na Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS