Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ripoti: Watu 350,000 wamekumbwa na baa la njaa huko Tigray nchini Ethiopia

    Ripoti: Watu 350,000 wamekumbwa na baa la njaa huko Tigray nchini Ethiopia

    Jun 10, 2021 21:43

    Kamati ya ngazi ya juu inayoongozwa na UN ambayo inajihusisha na kutafuta majibu ya haraka kwa mizozo ya kibinadamu inakadiria kwamba, karibu watu 350,000 katika mkoa wa Tigray uliokumbwa na vita huko Ethiopia wanasumbuliwa na baa la njaa.

  • Wanajeshi wa Ethiopia wamejizatiti katika mipaka ya mashariki mwa Sudan

    Wanajeshi wa Ethiopia wamejizatiti katika mipaka ya mashariki mwa Sudan

    Jun 09, 2021 22:01

    Maafisa wa kijeshi wa Sudan wameripoti kuwa, wanajeshi wa Ethiopia wamekusanyika katika mipaka ya nchi hiyo na Sudan.

  • UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray

    UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray

    Jun 09, 2021 03:47

    Wanajeshi wa Somalia wanaopata mafunzo ya kijeshi nchini Eritrea wanatuhumiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya watu katika eneo la Tigray, huko kaskazini mwa Ethiopia.

  • Eritrea yailaumu Marekani kwa kuchochea mapigano Tigray, Ethiopia

    Eritrea yailaumu Marekani kwa kuchochea mapigano Tigray, Ethiopia

    Jun 08, 2021 03:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Eritrea amezilaumu tawala za Marekani kwa kuchochea mapigano na vita katika eneo la Tigray, la kaskazini mwa Ethiopia kwa zaidi ya miongo miwili sasa.

  • Abiy Ahmed: Bwawa la Renaissance litazifaidisha pia Sudan na Misri

    Abiy Ahmed: Bwawa la Renaissance litazifaidisha pia Sudan na Misri

    Jun 07, 2021 08:22

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa ujenzi wa Bwawa la Renaissance utakuwa na faida si kwa nchi hiyo pekee bali pia kwa nchi za Misri na Ethiopia.

  • WFP: Karibu watu wote wa Tigray wanahitaji msaada wa chakula

    WFP: Karibu watu wote wa Tigray wanahitaji msaada wa chakula

    Jun 01, 2021 22:03

    Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetoa wito wa kukusanywa dola milioni 203 kwa ajili ya kuzidisha msaada kwa wakazi wa eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia na kutangaza kuwa, karibu wakazi wote wa eneo hilo wanahitajia msaada wa chakula.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tunafanya juhudi za kufikia mapatano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tunafanya juhudi za kufikia mapatano kuhusu Bwawa la Renaissance

    May 30, 2021 08:58

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema nchi yake ina azma kubwa ya kufikia mapatano madhubuti na nchi jirani ya Ethiopia kuhusiana na kadhia ya kujazwa maji na kuanza kufanya kazi bwawa hilo.

  • Rais Rouhani: Tunatumai uhusiano wetu na Ethiopia utaimarika zaidi

    Rais Rouhani: Tunatumai uhusiano wetu na Ethiopia utaimarika zaidi

    May 28, 2021 08:17

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema anatumai kuwa uhusiano wa pande mbili wa nchi hii na Ethiopia utaboreka na kuimarika zaidi.

  • Ijumaa, Mei 28, 2021

    Ijumaa, Mei 28, 2021

    May 27, 2021 21:54

    Leo ni Ijumaa tarehe 16 Mfunguo Mosi Shawwal 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Mei 2021 Milaadia.

  • Ethiopia yaahirisha tena uchaguzi kwa sababu za kiusalama, changamoto za vifaa

    Ethiopia yaahirisha tena uchaguzi kwa sababu za kiusalama, changamoto za vifaa

    May 16, 2021 03:31

    Ethiopia imechelewesha tena uchaguzi wa kitaifa baada ya baadhi ya vyama vya upinzani kusema kuwa, vitasusia uchaguzi huo ambao pia hautafanyika katika eneo la Tigray kutokana na mzozo unaendelea katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS