-
Ripoti: Watu 350,000 wamekumbwa na baa la njaa huko Tigray nchini Ethiopia
Jun 10, 2021 21:43Kamati ya ngazi ya juu inayoongozwa na UN ambayo inajihusisha na kutafuta majibu ya haraka kwa mizozo ya kibinadamu inakadiria kwamba, karibu watu 350,000 katika mkoa wa Tigray uliokumbwa na vita huko Ethiopia wanasumbuliwa na baa la njaa.
-
Wanajeshi wa Ethiopia wamejizatiti katika mipaka ya mashariki mwa Sudan
Jun 09, 2021 22:01Maafisa wa kijeshi wa Sudan wameripoti kuwa, wanajeshi wa Ethiopia wamekusanyika katika mipaka ya nchi hiyo na Sudan.
-
UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray
Jun 09, 2021 03:47Wanajeshi wa Somalia wanaopata mafunzo ya kijeshi nchini Eritrea wanatuhumiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya watu katika eneo la Tigray, huko kaskazini mwa Ethiopia.
-
Eritrea yailaumu Marekani kwa kuchochea mapigano Tigray, Ethiopia
Jun 08, 2021 03:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Eritrea amezilaumu tawala za Marekani kwa kuchochea mapigano na vita katika eneo la Tigray, la kaskazini mwa Ethiopia kwa zaidi ya miongo miwili sasa.
-
Abiy Ahmed: Bwawa la Renaissance litazifaidisha pia Sudan na Misri
Jun 07, 2021 08:22Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa ujenzi wa Bwawa la Renaissance utakuwa na faida si kwa nchi hiyo pekee bali pia kwa nchi za Misri na Ethiopia.
-
WFP: Karibu watu wote wa Tigray wanahitaji msaada wa chakula
Jun 01, 2021 22:03Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetoa wito wa kukusanywa dola milioni 203 kwa ajili ya kuzidisha msaada kwa wakazi wa eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia na kutangaza kuwa, karibu wakazi wote wa eneo hilo wanahitajia msaada wa chakula.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tunafanya juhudi za kufikia mapatano kuhusu Bwawa la Renaissance
May 30, 2021 08:58Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema nchi yake ina azma kubwa ya kufikia mapatano madhubuti na nchi jirani ya Ethiopia kuhusiana na kadhia ya kujazwa maji na kuanza kufanya kazi bwawa hilo.
-
Rais Rouhani: Tunatumai uhusiano wetu na Ethiopia utaimarika zaidi
May 28, 2021 08:17Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema anatumai kuwa uhusiano wa pande mbili wa nchi hii na Ethiopia utaboreka na kuimarika zaidi.
-
Ijumaa, Mei 28, 2021
May 27, 2021 21:54Leo ni Ijumaa tarehe 16 Mfunguo Mosi Shawwal 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Mei 2021 Milaadia.
-
Ethiopia yaahirisha tena uchaguzi kwa sababu za kiusalama, changamoto za vifaa
May 16, 2021 03:31Ethiopia imechelewesha tena uchaguzi wa kitaifa baada ya baadhi ya vyama vya upinzani kusema kuwa, vitasusia uchaguzi huo ambao pia hautafanyika katika eneo la Tigray kutokana na mzozo unaendelea katika eneo hilo.