-
Mamia ya raia wa Ethiopia waondoka Saudia Arabia
Oct 26, 2019 23:09Serikali ya Ethiopia imewaondoa mamia ya raia wake kutoka Saudi Arabia katika kipindi cha wiki za hivi karibuni.
-
Mwito wa utulivu baada ya watu 16 kuuawa katika maandamano Ethiopia
Oct 24, 2019 12:51Jawar Mohammed, mwanaharakati na mwasisi wa mtandano huru wa vyombo vya habari nchini Ethiopia ametoa mwito wa utulivu baada ya watu 16 kuuawa katika machafuko na ghasia za maandamano nchini humo.
-
Watu milioni 7.8 Ethiopia wanahitaji misaada ya kibinadamu
Oct 24, 2019 00:49Takriban watu milioni 7.8 nchini Ethiopia wameendelea kuhitaji misaada ya kibinadamu katika muda uliobaki wa mwaka huu.
-
Abiy Ahmed: Ethiopia iko tayari kuendesha uchaguzi 2020
Oct 23, 2019 04:23Waziri Mkuu wa Ethiopia jana alisema kuwa nchi hiyo itakabiliwa na matatizo iwapo itachelewesha uchaguzi mkuu kinyume na ilivyopangwa. Uchaguzi mkuu nchini Ethiopia umepangwa kufanyika mwezi ujao wa Mei.
-
Abiy Ahmed: Tukilazimika tutaingia vitani na Misri kwa ajili ya bwawa la El Nahdha
Oct 22, 2019 23:16Waziri Mkuu wa Ethiopia ametahadharisha kuwa, nchi hiyo itakusanya mamilioni ya wapiganaji iwapo italazimika kingia vitani na Misri katika mzozo wa ujenzi wa bwawa la El Nahdha juu ya maji ya Mto Nile.
-
Maporomoko ya ardhi yaua watu 22 kusini mwa Ethiopia
Oct 16, 2019 04:06Maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa yameuwa watu 22 kusini mwa Ethiopia.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia atunukiwa zawadi ya mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel 2019
Oct 11, 2019 12:07Waziri Mkuu wa Ethiopia ametunukiwa zawadi ya mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel mwaka 2019 kutokana na juhudi zake za kuhitimisha vita kati ya nchi na Eritrea.
-
Misri: Mazungumzo yetu na Ethiopia kuhusu bwawa la al-Nahdhah yamevunjika
Oct 06, 2019 04:43Serikali ya Misri imesema mazungumzo mapya kati ya nchi hiyo na Ethiopia kuhusu bwawa la al-Nahdhah linalojengwa na Addis Ababa yamegonga mwamba.
-
Watu 22 wauawa katika mapigano Amhara, Ethiopia
Oct 04, 2019 10:35Mapigano baina ya askari wa serikali ya kieneo na kabila la wachache yamepelekea watu wasiopungua 22 kuuawa katika eneo la Amhara kaskazini mwa Ethiopia katika kipindi cha siku tano zilizopita.
-
Wanachama wa al-Shabaab wakamatwa wakipanga mashambulizi Ethiopia
Sep 22, 2019 04:15Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wakila njama za kutekeleza mashambulizi katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.