Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Waziri wa Mambo ya Ndani Tunisia: Magaidi 3000 wa Kitunisia wako nje ya nchi

    Waziri wa Mambo ya Ndani Tunisia: Magaidi 3000 wa Kitunisia wako nje ya nchi

    Apr 22, 2017 02:36

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia amesema kuwa, magaidi 3000 za Kitunisia wako katika nchi za Syria, Libya na maeneo mengine duniani.

  • Jeshi la Tunisia latumia mizinga kushambulia maficho ya magaidi

    Jeshi la Tunisia latumia mizinga kushambulia maficho ya magaidi

    Apr 19, 2017 11:25

    Kikosi cha mizinga cha jeshi la wananchi wa Tunisia kimeshambulia maficho ya magaidi kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Kiongozi wa Daesh auawa mashariki mwa Algeria

    Kiongozi wa Daesh auawa mashariki mwa Algeria

    Mar 26, 2017 08:53

    Jeshi la Algeria limetangaza habari ya kuuawa kiongozi mmoja wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la Jabal al Wuhush la jimbo la Constantine, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Serikali ya Sudan Kusini yataka Machar atambuliwe kama gaidi

    Serikali ya Sudan Kusini yataka Machar atambuliwe kama gaidi

    Mar 14, 2017 11:27

    Serikali ya Sudan Kusini imezitaka nchi za eneo kumtambua Riek Machar, aliyekuwa makamu wa rais wa nchi hiyo kama gaidi, baada ya askari watiifu kwa kiongozi huyo kuwateka nyara wafanyakazi wawili wa kigeni, na kuitisha kikomboleo ili wawaachie huru.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu

    Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu

    Mar 13, 2017 02:35

    Kutokana na kuenea ukame na njaa katika maeneo tofauti ya dunia Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hatari ya kutokea maafa makubwa zaidi ya kibinaadamu ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miaka 72 iliyopita

  • Washukiwa 6 wa al Shabab watiwa nguvuni Malindi, Kenya

    Washukiwa 6 wa al Shabab watiwa nguvuni Malindi, Kenya

    Mar 11, 2017 13:19

    Polisi ya kupambana na ugaidi ya Kenya imewatia nguvuni watu 6 wanaoshukiwa kuwa magaidi wa kundi la al Shabab katika mji wa pwani wa Malindi.

  • Wanajeshi wa Niger washambuliwa katika mpaka wa Mali

    Wanajeshi wa Niger washambuliwa katika mpaka wa Mali

    Feb 24, 2017 04:40

    Wanajeshi kadhaa ya Niger wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Mali.

  • Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia

    Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia

    Feb 18, 2017 04:13

    Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imetangaza kuwa, magaidi wawili wakufurishaji wameangamizwa katika maeneo ya milimani ya jimbo la Kasserine la magharibi mwa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya jeshi ya kupambana na magenge ya kigaidi.

  • Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia

    Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia

    Feb 01, 2017 12:12

    Watu wawili wameripotiwa kuuawa baada ya kundi la kigaidi la al Shabab kufanya shambulio kusini mwa Somalia.

  • Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Jan 30, 2017 11:43

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS