-
Tunisia na tatizo la kurejea magaidi
Jan 17, 2017 13:11Kurejea katika nchi zao magaidi waliojiunga na makundi ya kigaidi lingali miongoni mwa matatizo na changamoto kubwa ambazo ni gumzo barani Ulaya na Afrika.
-
Mamia ya matakfiri wanaorejea Tunisia wakamatwa
Dec 31, 2016 07:27Msemaji wa serikali ya Tunisia ametangaza habari ya kukamatwa mamia ya matakfiri wanaorejea nchini humo kutoka eneo la Mashariki ya Kati.
-
Wamisri waingiwa na wasiwasi wa kuvamiwa nchi yao na wimbi la magaidi
Dec 29, 2016 14:46Duru za usalama nchini Misri zimetangaza habari ya uwezekano wa kuvamiwa nchi hiyo na wimbi la magaidi kutoka nchi nyingine, suala ambalo limezitia hofu nyoyo za wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Syria yaendeleza oparesheni dhidi ya magaidi karibu na Damascus
Dec 28, 2016 02:51Jeshi la Syria limeanzisha oparesheni kali ya kuwapokonya magaidi udhibiti wa eneo la kistratijia karibu na Damascus ambalo lina chemichemi ambayo maji yake yanatumika katika mji mkuu huo.
-
Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria
Dec 27, 2016 14:47Saudia Arabia hivi karibuni imetoa msaada mwingine wa Riali Milioni 100 za Kisaudi ($ Milioni 26.5) kwa ajili ya magaidi nchini Syria.
-
Ayatullah Amoli Larijani: Syria si mahala salama tena kwa magaidi
Dec 20, 2016 03:06Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, Syria si mahala salama tena kwa magaidi na waungaji mkono wao wa Mashariki ya Kati na wa nje ya eneo hili.
-
Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi
Dec 01, 2016 07:37Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka kuendeshwa mapambano na nchi zote dhidi ya makundi ya kigaidi.
-
Magaidi wanane wa Boko Haram wauawa Nigeria
Nov 02, 2016 14:26Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewauwa wanachama wanane wa kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Magaidi 600 wajisalimisha kwa jeshi la Syria
Oct 24, 2016 03:40Magaidi 600 na watu wenye silaha wamejisalimisha kwa jeshi la Syria magharibi mwa Damascus mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Mkuu wa Daesh taabani baada ya kupewa sumu
Oct 05, 2016 14:53Mkuu wa kundi la kigiaid la ISIS (Daesh), Ibrahim al-Samarrai, maarufu kama Abu Bakr al-Bahgdadi, ameripotiwa kuwa katika hali mbaya ya kiafya baada ya kuwekewa sumu katika chakula chake.