Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83

    Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83

    Jan 26, 2017 04:03

    Watu 83 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana na wanachama wa genge la ash-Shabab lenye mafungamano na kundi la al-Qaidah huko Somalia.

  • Tunisia na tatizo la kurejea magaidi

    Tunisia na tatizo la kurejea magaidi

    Jan 17, 2017 09:41

    Kurejea katika nchi zao magaidi waliojiunga na makundi ya kigaidi lingali miongoni mwa matatizo na changamoto kubwa ambazo ni gumzo barani Ulaya na Afrika.

  • Mamia ya matakfiri wanaorejea Tunisia wakamatwa

    Mamia ya matakfiri wanaorejea Tunisia wakamatwa

    Dec 31, 2016 03:57

    Msemaji wa serikali ya Tunisia ametangaza habari ya kukamatwa mamia ya matakfiri wanaorejea nchini humo kutoka eneo la Mashariki ya Kati.

  • Wamisri waingiwa na wasiwasi wa kuvamiwa nchi yao na wimbi la magaidi

    Wamisri waingiwa na wasiwasi wa kuvamiwa nchi yao na wimbi la magaidi

    Dec 29, 2016 11:16

    Duru za usalama nchini Misri zimetangaza habari ya uwezekano wa kuvamiwa nchi hiyo na wimbi la magaidi kutoka nchi nyingine, suala ambalo limezitia hofu nyoyo za wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Syria yaendeleza oparesheni dhidi ya magaidi karibu na Damascus

    Syria yaendeleza oparesheni dhidi ya magaidi karibu na Damascus

    Dec 27, 2016 23:21

    Jeshi la Syria limeanzisha oparesheni kali ya kuwapokonya magaidi udhibiti wa eneo la kistratijia karibu na Damascus ambalo lina chemichemi ambayo maji yake yanatumika katika mji mkuu huo.

  • Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria

    Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria

    Dec 27, 2016 11:17

    Saudia Arabia hivi karibuni imetoa msaada mwingine wa Riali Milioni 100 za Kisaudi ($ Milioni 26.5) kwa ajili ya magaidi nchini Syria.

  • Ayatullah Amoli Larijani: Syria si mahala salama tena kwa magaidi

    Ayatullah Amoli Larijani: Syria si mahala salama tena kwa magaidi

    Dec 19, 2016 23:36

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, Syria si mahala salama tena kwa magaidi na waungaji mkono wao wa Mashariki ya Kati na wa nje ya eneo hili.

  • Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi

    Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi

    Dec 01, 2016 04:07

    Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka kuendeshwa mapambano na nchi zote dhidi ya makundi ya kigaidi.

  • Magaidi wanane wa Boko Haram wauawa Nigeria

    Magaidi wanane wa Boko Haram wauawa Nigeria

    Nov 02, 2016 10:56

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewauwa wanachama wanane wa kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 600 wajisalimisha kwa jeshi la Syria

    Magaidi 600 wajisalimisha kwa jeshi la Syria

    Oct 24, 2016 00:10

    Magaidi 600 na watu wenye silaha wamejisalimisha kwa jeshi la Syria magharibi mwa Damascus mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS