-
Rais mpya wa Gambia aapishwa; Jammeh ang'ang'ania madaraka
Jan 19, 2017 14:32Adama Barrow ameapishwa na kuwa Rais mpya wa Gambia huku Yahya Jammeh aliyetawala nchi hiyo kwa miaka 22 aking'ang'ania madaraka ya nchi.
-
Mgogoro wa Gambia waingia awamu mpya, Nigeria yatuma majeshi kukabiliana na Jammeh
Jan 19, 2017 05:21Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limetuma askari 200 na ndege kadhaa za kivita katika nchi jirani na Gambia ya Senegal kwa ajili ya kutatua mgogorowa uongozi uliosababishwa na uchaguzi wa rais nchini Gambia.
-
Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari
Jan 18, 2017 16:40Bunge la Taifa la Gambia limepasisha azimio la kumruhusu Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo asalie madarakani kwa miezi mitatu zaidi katika hali ambayo muda wake wa kuhudumu unaelekea kumalizika.
-
Juhudi za kufanyika makabidhiano ya madaraka kwa njia ya amani nchini Gambia
Jan 18, 2017 13:31Katika kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Gambia, Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo sanjari na kulaani uingiliaji wa kigeni katika mambo ya ndani ya nchi hiyo, ametangaza hali ya hatari nchini humo.
-
Morocco: Jammeh astaafu baada ya kumalizika muda wake wa urais
Jan 18, 2017 07:30Serikali ya Morocco imemtaka Rais Yahya Jammeh wa Gambia atumie fursa iliyopo kustaafu kwa amani baada ya kumalizika muhula wake wa uongozi.
-
Rais Yahya Jammeh atangaza hali ya hatari Gambia
Jan 18, 2017 04:11Rais Yahya Jammeh wa Gambia ametangaza hali ya hatari nchini humo kwa siku 90 akiashiria kuingiliwa na nchi ajinabi uchaguzi wa rais wa nchi hiyo uliofanyika mwezi Disemba mwaka jana.
-
Barrow ataka sherehe za kuapishwa kwake zifanyike kama ilivyopangwa, Gambia
Jan 18, 2017 04:10Rais mteule wa Gambia amesema kuwa, sherehe za kuapishwa kwake kama rais mpya wa nchi hiyo zinapaswa kufanyika kama ilivyopangwa.
-
Nchi za Afrika Magharibi kumuondoa Jammeh madarakani kwa nguvu, Gambia
Jan 17, 2017 15:10Nigeria na nchi kadhaa za Afrika Magharibi zinapanga kutuma majeshi nchini Gambia kumuondoa madarakani Rais Yahya Jammeh iwapo hatakabidhi madaraka kama ilivyopangwa.
-
Mtoto wa Rais mteule wa Gambia afariki kwa kushambuliwa na mbwa
Jan 17, 2017 07:27Mtoto wa kiume wa Rais-mteule wa Gambia mwenye umri wa miaka minane amefariki dunia kwa kushambuliwa na mbwa katika mazingira ya kutatanisha, wakati huu ambapo baba yake yuko nchini Senegal.
-
Mali yamtaka Jammeh akabidhi madaraka kwa amani
Jan 15, 2017 07:17Rais Ibrahim Boubacar Keïta wa Mali amemtaka Rais Yahya Jammeh wa Gambia akabidhi madaraka kwa amani na azuie nchi yake kutumbukia kwenye machafuko.