Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Umoja wa Afrika waitishia Gambia

    Umoja wa Afrika waitishia Gambia

    Jan 14, 2017 13:21

    Mgogoro wa kisiasa nchini Gambia umekuwa tata zaidi katika kukaribia tarehe ya kuapichwa rais mpya wa nchi hiyo. Kuhusiana na suala hilo Umoja wa Afrika (AU) umemtishia Rais wa Gambia kuwa hautamtambua rasmi kuwa rais halali tangu tarehe iliyoanishwa kwa ajili ya kufanyika sherehe za kumuapisha rais mteule wa nchi hiyo.

  • UNOWAS kuhakikisha Jammeh anaondoka madarakani nchini Gambia

    UNOWAS kuhakikisha Jammeh anaondoka madarakani nchini Gambia

    Jan 14, 2017 07:29

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa Afrika Magharibi amesema kunafanyika jitihada za kumshawishi Yahya Jammeh aliyeshindwa katika uchaguzi wa rais Gambia kuondoka madarakani na kumuachia mshindi, Adama Barrow, achukue hatamu za uongozi nchini humo.

  • Adama Barrow asema yuko tayari kufanya mazungumzo na Jammeh

    Adama Barrow asema yuko tayari kufanya mazungumzo na Jammeh

    Jan 13, 2017 08:07

    Mshindi wa uchaguzi wa Rais nchini Gambia, Adama Barrow amesema yuko tayari kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Rais Yahya Jammeh, ambaye alipinga matokeo hayo.

  • Bunge la Wawakilishi Nigeria lafungua njia ya kumpa hifadhi ya kisiasa Rais wa Gambia

    Bunge la Wawakilishi Nigeria lafungua njia ya kumpa hifadhi ya kisiasa Rais wa Gambia

    Jan 12, 2017 16:54

    Bunge la Wawakilishi la Nigeria leo limepiga kura kuidhinisha uamuzi wa kumpatia hifadhi ya kisiasa Rais Yahya Jammeh wa Gambia endapo atakubali kung'atuka madarakani.

  • Mahakama Kuu ya Gambia yakataa kusikiliza shauri la malalamiko ya uchaguzi

    Mahakama Kuu ya Gambia yakataa kusikiliza shauri la malalamiko ya uchaguzi

    Jan 11, 2017 04:06

    Mahakama Kuu ya Gambia imetangaza kuwa katika hali ya sasa haiwezi kusikiliza na kutoa uamuzi kuhusu malalamiko ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Waziri wa Gambia aihama serikali ya Rais Jammeh

    Waziri wa Gambia aihama serikali ya Rais Jammeh

    Jan 10, 2017 16:26

    Waziri wa Mawasiliano wa Gambia Sheriff Bojang amesema ameamua kujiondoa kwenye serikali tangu rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo alipokataa kuwa ameshindwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe mosi ya mwezi uliopita wa Desemba.

  • Mahakama kusikiliza ombi la Jammeh, Ecowas kurejea Gambia kesho

    Mahakama kusikiliza ombi la Jammeh, Ecowas kurejea Gambia kesho

    Jan 10, 2017 08:16

    Mahakama ya Kilele ya Gambia inatazamiwa hii leo kuanza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais iliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh anayetaka matokeo ya uchaguzi yabatilishwe.

  • Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia

    Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia

    Jan 07, 2017 08:06

    Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wanatazamiwa hii leo kutoa kile kilichotajwa kuwa 'uamuzi mzito' kuhusiana na mgogoro wa kisiasa unaoikabili Gambia

  • Jeshi la Gambia latangaza kumuunga mkono Rais Yahya Jammeh

    Jeshi la Gambia latangaza kumuunga mkono Rais Yahya Jammeh

    Jan 05, 2017 04:52

    Kamanda wa Jeshi la Gambia ametoa ujumbe akitangaza uungaji mkono kamili wa jeshi la nchi hiyo kwa Rais Yahya Jammeh ambaye amekataa kukabidhi madaraka ya nchi kwa njia ya amani baada ya kushindwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika nchini humo mwezi uliopita.

  • Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Jan 04, 2017 07:10

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Gambia amekimbia nchi akihofiwa usalama wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS