-
Hamas: Kutunguliwa ndege za Israel Gaza, ni ishara ya kuwa macho muqawama
Apr 12, 2018 10:04Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kitendo cha harakati hiyo kufanikiwa kutungua ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel zinazoshambulia Ukanda wa Gaza ni ithibati tosha kuwa harakati hiyo ya muqawama imesimama kidete na iko tayari kuzima chokochoko na uvamizi wa Tel Aviv.
-
Mtazamo wa Hassan Nasrullah kuhusiana na uchaguzi wa bunge nchini Lebanon
Apr 11, 2018 02:52Jumapili iliyopita Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon alihutubia eneo la Nabatieh kusini mwa Lebanon ambapo alibainisha maoni yake kuhusiana na uchaguzi ujao wa bunge nchini humo.
-
Ukosoaji mkali wa kiongozi wa chama cha Leba cha Uingereza kwa hatua za kinyama za Israel dhidi ya Wapalestina
Apr 09, 2018 01:27Jeremy Corbyn, kiongozi wa chama cha Leba nchini Uingereza amelaani mauaji ya Wapalestina yaliyofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa maandamano kwenye mpaka wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa mwenendo wa kuvifumbia macho na kuvinyamazia vitendo vya Israel vya kuwaua Wapalestina wanaoandamana bila ya kubeba silaha yoyote, inapasa ukomeshwe.
-
Arab League nayo yataka Israel ipelekwe The Hague
Apr 04, 2018 21:08Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (The Arab League (AL) nayo imejiunga na harakati na taasisi nyingine za kikanda na kimataifa zilizolaani jinai dhidi ya binadamu zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na imeutaka Umoja wa Mataifa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuanzisha uchunguzi kuhusu mauaji yaliyofanywa hivi karibuni na jeshi la Isrel dhidi ya raia wa Palestina.
-
Alkhamisi tarehe 5 Aprili 2018
Apr 04, 2018 20:56L:eo ni Alkhamisi tarehe 18 Rajab 1439 Hijria sawa na Aprili 5, 2018.
-
Iran kufuatilia jinai za Israel katika taasisi za kimataifa
Apr 04, 2018 02:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitza kuwa Iran itaendelea kuunga mkono harakati za mapambano ya kupigania ukombozi wa Palestina kutoka katika makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi
Mar 30, 2018 11:24Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu
Mar 29, 2018 02:06Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi wa Palestina Bw. Pierre Krahenbuhl ameonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya kibinadamu ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Gaza ambalo liko chini ya mzingiro wa Utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS: Mzingiro dhidi ya Gaza unazidi kuifanya kuwa mbaya hali ya eneo hilo
Mar 22, 2018 03:03Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametahadharisha kwamba, kuendelea mzingiro dhidi ya Ukanda wa gaza kutazidi kuifanya kuwa mbaya hali ya mambo katika eneo hilo.
-
Wapalestina 148 wajeruhiwa katika makabiliano na wanajeshi wa Kizayuni
Feb 17, 2018 13:52Wapalestina wasiopungua 148 walijeruhiwa Ijumaa wakati wakikabiliana na wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Ghaza.