Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Hamas: Kutunguliwa ndege za Israel Gaza, ni ishara ya kuwa macho muqawama

    Hamas: Kutunguliwa ndege za Israel Gaza, ni ishara ya kuwa macho muqawama

    Apr 12, 2018 10:04

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kitendo cha harakati hiyo kufanikiwa kutungua ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel zinazoshambulia Ukanda wa Gaza ni ithibati tosha kuwa harakati hiyo ya muqawama imesimama kidete na iko tayari kuzima chokochoko na uvamizi wa Tel Aviv.

  • Mtazamo wa Hassan Nasrullah kuhusiana na uchaguzi wa bunge nchini Lebanon

    Mtazamo wa Hassan Nasrullah kuhusiana na uchaguzi wa bunge nchini Lebanon

    Apr 11, 2018 02:52

    Jumapili iliyopita Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon alihutubia eneo la Nabatieh kusini mwa Lebanon ambapo alibainisha maoni yake kuhusiana na uchaguzi ujao wa bunge nchini humo.

  • Ukosoaji mkali wa kiongozi wa chama cha Leba cha Uingereza kwa hatua za kinyama za Israel dhidi ya Wapalestina

    Ukosoaji mkali wa kiongozi wa chama cha Leba cha Uingereza kwa hatua za kinyama za Israel dhidi ya Wapalestina

    Apr 09, 2018 01:27

    Jeremy Corbyn, kiongozi wa chama cha Leba nchini Uingereza amelaani mauaji ya Wapalestina yaliyofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa maandamano kwenye mpaka wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa mwenendo wa kuvifumbia macho na kuvinyamazia vitendo vya Israel vya kuwaua Wapalestina wanaoandamana bila ya kubeba silaha yoyote, inapasa ukomeshwe.

  • Arab League nayo yataka Israel ipelekwe The Hague

    Arab League nayo yataka Israel ipelekwe The Hague

    Apr 04, 2018 21:08

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (The Arab League (AL) nayo imejiunga na harakati na taasisi nyingine za kikanda na kimataifa zilizolaani jinai dhidi ya binadamu zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na imeutaka Umoja wa Mataifa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuanzisha uchunguzi kuhusu mauaji yaliyofanywa hivi karibuni na jeshi la Isrel dhidi ya raia wa Palestina.

  • Alkhamisi tarehe 5 Aprili 2018

    Alkhamisi tarehe 5 Aprili 2018

    Apr 04, 2018 20:56

    L:eo ni Alkhamisi tarehe 18 Rajab 1439 Hijria sawa na Aprili 5, 2018.

  • Iran kufuatilia jinai za Israel katika taasisi za kimataifa

    Iran kufuatilia jinai za Israel katika taasisi za kimataifa

    Apr 04, 2018 02:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitza kuwa Iran itaendelea kuunga mkono harakati za mapambano ya kupigania ukombozi wa Palestina kutoka katika makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Mar 30, 2018 11:24

    Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu

    UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu

    Mar 29, 2018 02:06

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi wa Palestina Bw. Pierre Krahenbuhl ameonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya kibinadamu ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Gaza ambalo liko chini ya mzingiro wa Utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Mzingiro dhidi ya Gaza unazidi kuifanya kuwa mbaya hali ya eneo hilo

    HAMAS: Mzingiro dhidi ya Gaza unazidi kuifanya kuwa mbaya hali ya eneo hilo

    Mar 22, 2018 03:03

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametahadharisha kwamba, kuendelea mzingiro dhidi ya Ukanda wa gaza kutazidi kuifanya kuwa mbaya hali ya mambo katika eneo hilo.

  • Wapalestina 148 wajeruhiwa katika makabiliano na wanajeshi wa Kizayuni

    Wapalestina 148 wajeruhiwa katika makabiliano na wanajeshi wa Kizayuni

    Feb 17, 2018 13:52

    Wapalestina wasiopungua 148 walijeruhiwa Ijumaa wakati wakikabiliana na wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS