Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Utawala wa Kizayuni wakiri kupata hasara kubwa kufuatia mashambulizi ya Hizbullah

    Utawala wa Kizayuni wakiri kupata hasara kubwa kufuatia mashambulizi ya Hizbullah

    Dec 04, 2024 12:18

    Mkuu wa kitongoji kimoja cha Wazayuni ameeleza kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nyumba ndani ya kitongoji hicho zimeharibiwa na kubomoka kufuatia mashambulizi ya makombora ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Abdul-Malik al-Houthi: Kupitia Hizbullah, Mwenyezi Mungu ametoa ushindi mwingine mkubwa dhidi ya adui Israel

    Abdul-Malik al-Houthi: Kupitia Hizbullah, Mwenyezi Mungu ametoa ushindi mwingine mkubwa dhidi ya adui Israel

    Nov 29, 2024 07:48

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amepongeza ushindi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon dhidi ya uvamizi na jinai za Israel dhidi ya nchi hiyo na kusema Mwenyezi Mungu ameruzuku ushindi mwingine wa kihistoria dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Sababu za kusalia imara Muqawama-2

    Sababu za kusalia imara Muqawama-2

    Nov 17, 2024 02:39

    Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya kipindi chetu cha leo ambacho kinaendelea kuzungumzia sababu za kuendelea kusimama imara kambi ya Muqawama dhidi ya mabeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel...

  • Hizbullah yawatwanga kwa makombora wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Hizbullah yawatwanga kwa makombora wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 06, 2024 02:31

    Wanamuqawama wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon wamevurumisha makombora katika kambi za kijeshi mahali walipokuwa wamekusanyika wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah

    Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah

    Nov 02, 2024 11:14

    Israel sasa inaiasa Russia eti ishiriki katika 'juhudi za amani' zinazolenga kumaliza mzozo kati ya utawala huo wa Kizayuni na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel

    Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel

    Nov 01, 2024 10:30

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema zaidi ya maafisa na wanajeshi 95 wa Israel wameuawa na wengine wasiopungua 900 wamejeruhiwa tangu utawala huo ghasibu uanzishe operesheni ya nchi kavu dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Sheikh Qassem: Hizbullah itazima 'mpango mkubwa' wa Israel katika eneo

    Sheikh Qassem: Hizbullah itazima 'mpango mkubwa' wa Israel katika eneo

    Oct 31, 2024 02:37

    Katibu Mkuu mpya wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la mapambano ya Kiislamu litaendelea kupambana kwa shabaha ya kusambaratisha njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo zima la Asia Magharibi.

  • 'Hizbullah iko katika mkao wa vita, siku ngumu zinaisubiri Israel'

    'Hizbullah iko katika mkao wa vita, siku ngumu zinaisubiri Israel'

    Oct 14, 2024 13:43

    Kamanda Mkuu wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameuonya utawala haramu Israel kuhusu "siku ngumu" zijazo huku harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ikijiimarisha kivita ili kukabiliana na uvamizi wa Israel.

  • Israel yateketeza mahema kwenye Hospitali ya Ghaza na kuwachoma moto Wapalestina wakiwa hai

    Israel yateketeza mahema kwenye Hospitali ya Ghaza na kuwachoma moto Wapalestina wakiwa hai

    Oct 14, 2024 06:12

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeishambulia kwa mabomu kambi ya wakimbizi katika eneo la kati la Ukanda wa Ghaza na kusababisha moto mkubwa uliopelekea kuuawa shahidi Wapalestina waliokuwa wametafuta hifadhi kwenye eneo hilo kutokana na hilaki ya vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala huo ghasibu.

  • Muendelezo wa mashambulizi makali  ya Hizbullah ya Lebanon  kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)

    Muendelezo wa mashambulizi makali ya Hizbullah ya Lebanon kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)

    Oct 12, 2024 11:41

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imelenga maeneo ya kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa mashambulizi makali ya makombora.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS