-
Hizbullah yaionya Israel; Mkifanya makosa, tutaingia al-Jalil
Jun 12, 2023 07:44Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuwa, iwapo utawala haramu wa Kizayuni wa Israel utafanya mahesabu ghalati, basi ujiandae kukabiliwa kwa makombora ya wanamuqawama.
-
Utunishaji misuli wa Hizbullah na sisitizo la kuwepo umoja katika nyuga zote za Muqawama
May 25, 2023 07:57Jumapili ya tarehe 21 Mei, sambamba na kuwadia maadhimisho ya mwaka wa 23 wa kukombolewa eneo la kusini mwa Lebanon, harakati ya Muqawama ya Hizbullah ilifanya mazoezi makubwa ya kijeshi kwa lengo la kuonyesha utayarifu wa muqawama wa kuilinda ardhi ya Lebanon.
-
Hizbullah: Ndoto ya Netanyahu ya kuanzisha muungano dhidi ya Iran haikuaguka
Apr 22, 2023 09:03Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema: matukio ya hivi karibuni ya Palestina na eneo na milingano uliolazimishwa kuwepo na Muqawama vimezima ndoto ya Netanyahu ya kuanzisha muungano dhidi ya Iran.
-
Nasrullah: Uvamizi wa kijeshi wa Israel dhidi ya Lebanon utajibiwa haraka
Mar 23, 2023 07:33Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na maafisa wa utawala haramu wa Israel vya kuwepo uwezekano wa kuivamia kijeshi Lebanon na kusisitiza kuwa, uchokozi wowote wa Israel dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu utapata jibu la haraka.
-
Hizbullah: Mauaji ya makamanda wa muqawama hayatafanikisha njama za Israel
Mar 20, 2023 22:59Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya kamanda wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusisitiza kuwa, mauaji ya makamanda wa muqawama kamwe hayatafanikisha njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Arab League, Hizbullah zakaribisha kuhuishwa uhusiano wa Iran, Saudia
Mar 12, 2023 07:06Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imekaribisha makubaliano ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia wa Iran na Saudi Arabia, miaka saba baada ya kuvunjika uhusiano huo.
-
Hizbullah: Vikwazo vya Marekani havina tofauti na vita vya kijeshi
Feb 19, 2023 22:53Mkuu wa Baraza Kuu la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, vikwazo vya Marekani dhidi ya Lebanon na nchi zingine havina tofauti na vita vya kijeshi.
-
Hizbullah yailaani Charlie Hebdo kwa kumvunjia heshima Kiongozi Muadhamu
Jan 11, 2023 07:52Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali kitendo cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo cha kumvunjia heshima Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Hizbullah yaipongeza timu ya soka ya Morocco kwa kuinyuka Uhispania na kuinua bendera ya Palestina
Dec 07, 2022 10:22Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa "Twitter" ambapo ameipongeza Morocco kwa ushindi wa timu ya kandanda ya nchi hiyo dhidi ya Uhispania hiyo jana na kufuzu kuingia robo fainali ya mechi za Kombe la Dunia zinazoendelea nchini Qatar.
-
Marekani yaiwekea vikwazo vipya Hizbullah ya Lebanon
Dec 02, 2022 04:24Katika kuendeleza sera zake za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon, serikali ya Marekani imewawekea vikwazo watu watatu na makampuni mawili ya Lebanon kwa kisingizio cha kutoa huduma za kifedha kwa harakati hiyo.