-
Saudia yapongeza vikwazo vya Marekani dhidi ya Hizbullah, nayo Hizbullah yaonya
Oct 09, 2017 11:42Waziri Mshauri wa Saudi Arabia katika Masuala ya nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi, amepongeza vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya harakati ya Kiislamu ya muqawama Hizbullah nchini Lebanon.
-
Sheikh Naeem Qassim: Kuwepo matakfiri katika Mashariki ya Kati ni mpango wa Kizayuni
Sep 28, 2017 04:27Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwepo matakfiri katika eneo la Mashariki ya Kati ni mpango wa kisiasa unaokamilisha mpango wa Wazayuni.
-
Kamanda wa jeshi la Israel: Ni vizuri Israel iendelee kujiepusha kuingia vitani na Hizbullah
Sep 22, 2017 01:20Mkuu wa Majeshi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa, ni kwa maslahi ya utawala huo ikiwa utaendelea kujitenga mbali na vita vyovyote na Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon.
-
Hizbullah ya Lebanon: Lengo la kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua sura ya Uislamu
Aug 18, 2017 10:31Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.
-
Jumapili Julai 16, 2017
Jul 15, 2017 23:24Leo ni Jumapili tarehe 21 Shawwal 1438 Hijria, sawa na Julai 16, 2017 Miladia.
-
Hizbullah: Israel itashtushwa mno na uwezo wetu wa kijeshi iwapo itatuchokoza
Jul 14, 2017 09:48Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni utaanzisha vita vyovyote dhidi ya harakati hiyo, Tel Aviv itashangazwa na uwezo mkubwa wa kijeshi wa wanamapambano wa Hizbullah.
-
Hizbullah: Kufeli mradi wa ugaidi katika eneo kunatokana na miongozo ya Kiongozi Muadhamu
Jul 13, 2017 03:18Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa kushindwa mradi kabambe wa makundi ya ukufurishaji na Kiwahabi katika eneo la Mashariki ya Kati, kumetokana na mafundisho bora ya Imamu Ruhullah Komein (MA) Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na pia miongozo ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei.
-
Jumatano tarehe 12 Julai, 2017
Jul 11, 2017 23:31Leo ni Jumatano tarehe 17 Shawwal 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 12 Julai 2017.
-
Hizbullah: Marekani na EU zinazuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao
Jul 08, 2017 03:25Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani na Umoja wa Ulaya zimekuwa zikizuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao.
-
Hizbullah: Mpango wa matakfiri Mashariki ya Kati unasambaratika
Jun 28, 2017 02:48Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, hali ya kisiasa inayotawala hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa manufaa ya mhimili wa muqawama na kwamba, mpango wa matakfiri umo katika katika hali ya kusambaratika.