-
Shambulio la kigaidi la Israel kusini mwa Lebanon laua shahidi mtu mmoja na kujeruhi wengine 13
Sep 14, 2024 10:31Mtu mmoja ameuawa shahidi na wengine 13 kujeruhiwa katika mashambulio la kigaidi la utawala wa kigaidi wa Israel huko kusini mwa Lebanon.
-
Hizbullah: Adui hana chaguo jingine ghairi ya kusitisha vita Gaza
Sep 08, 2024 12:56Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, adui ana njia moja pekee, ambayo ni kusimamisha hujuma na mashambulizi ya kinyama dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Idadi ya vifo Ghaza yapindukia 40,900 baada ya jeshi la Israel kuua Wapalestina wengine 61
Sep 07, 2024 11:52Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wengine 61 katika mashambulizi kwenye Ukanda wa Ghaza, na kuongeza idadi ya vifo kufikia 40,939 tangu Oktoba 7, 2023. Hayo ni kulingana na taarifa iliyotolewa leo na Wizara ya Afya ya Ghaza.
-
Walowezi wa Kizayuni wapiga muziki na kufanya ibada zao kwenye eneo la Msikiti wa Ibrahimi
Sep 04, 2024 02:39Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeruhusu maelfu ya walowezi haramu kufanya tamasha la muziki na ibada zao katika eneo la Msikiti wa Ibrahimi ulioko kwenye mji wa Al-Khalil, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu baada ya kuufunga Msikiti huo usitumiwe na Waislamu Wapalestina.
-
Palestina kuwasilisha ombi la kujiunga na BRICS baada ya mkutano wa Oktoba
Aug 27, 2024 06:58Palestina itawasilisha ombi la kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS baada ya mkutano wa kilele wa jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika nchini Russia mwezi Oktoba. Hayo yameelezwa na balozi wa Palestina mjini Moscow Abdel Hafiz Nofal.
-
Mwangwi wa kikanda na kimataifa wa Operesheni ya Siku ya Arubaini na shambulizi la Hizbullah ya Lebanon dhidi ya utawala wa Kizayuni
Aug 27, 2024 02:10Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imedhihirisha uwezo wake katika nyanja mbalimbali na taathira yake kieneo na kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa operesheni ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein (as).
-
Hizbullah yakitwanga makombora kituo cha anga cha Israel, yateketeza mitambo ya ujasusi
Aug 24, 2024 02:35Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekishambulia kwa makombora kadhaa kituo cha uongozaji wa shughuli za anga cha Meron cha utawala wa Kizayuni wa Israel na kubomoa mitambo ya ujasusi ya kituo hicho.
-
Wanamuqawama wanne wa Hizbullah wauawa shahidi kusini mwa Lebanon
Aug 22, 2024 02:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon jana Jumatano ilitangaza habari ya kuuliwa shahidi wapiganaji wake wanne kusini mwa nchi hiyo.
-
Droni ya Hizbullah yapaa juu ya makazi ya waziri mkuu wa Israel bila ya kutunguliwa
Aug 19, 2024 06:11Droni (ndege isiyo na rubani) ya Hizbullah iliyotengenezwa maalumu kwa ajili ya kupiga picha, imeruka kwenye kitongoji cha Qaysaria (Caesarea) ambalo ni eneo analoishi waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu na familia yake.
-
Wazayuni waingiwa kiwewe na hofu kutokana na uwezo wa makombora ya Hizbullah
Aug 18, 2024 02:24Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, kwa mara ya kwanza, imeonyesha picha na video za miji yake ya makombora, ambayo ni ishara ya uwezo wa Muqawama kwa ajili ya kujihama, jambo ambalo limesababisha hofu na wahka miongoni mwa Wazayuni.