-
Rais Raisi: Imam Khomeini (MA) aliwaamini wananchi
Aug 23, 2022 03:41Rais Ebrahim Raisi amesema, mtazamo wa Imam Khomeini (MA) kwa wananchi haukuwa mtazamo wa kiheshima tu, kwa sababu aliwaamini kiudhati wananchi na akisisitiza kuwa kutokana na imani juu ya Mwenyezi Mungu, kuwatumikia wananchi kunamfanya mtu awe karibu na Yeye Mola.
-
Wanaharakati wa Palestina watangaza upya utiifu wao kwa malengo ya Imam Khomeini MA
Jun 02, 2022 02:40Wanaharakati na wakuu wa mashirika ya wananchi ya kutetea taifa la Palestina hapa Iran wamefika katika Haram Takatifu ya Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu- na kutangaza upya utiifu wao kwa malengo yake matukufu na pia kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kadhia ya kuunga mkono taifa la Palestina.
-
Alkhamisi tarehe 5 Mei 2022
May 04, 2022 21:49Leo ni Akhamisi tarehe 3 Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 5 Mei mwaka 2022.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds; ubunifu wa kuhuisha kadhia ya Palestina
Apr 29, 2022 22:39Jana tarehe 29 Aprili ilisadifiana na mwezi 27 Ramadhani ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu, siku ambayo ni maalumu kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Mapinduzi ya Kiislamu na Uhuishaji Kigezo cha Kufuatwa na Mwanamke Muislamu
Feb 16, 2022 00:29Katika kipindi cha miaka 43 tokea ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hadi sasa, zimefanyika juhudi athirifu za kuhuisha heshima ya wanawake.
-
Imam Khomeini alihuisha Uislamu na kuwapa Waislamu utambulisho
Feb 09, 2022 01:02Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Iran amesema hayati Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu, muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alihuisha Uislamu na kuwapa Waislamu utambulisho
-
Jumatatu tarehe 24 Januari 2022
Jan 23, 2022 23:09Leo ni Jumatatu tarehe 21 Jamadithani 1443 Hijria sawa na tarehe 24 Januari 2022.
-
Jumamosi, 22 Januari, 2022
Jan 21, 2022 23:05Leo ni Jumamosi tarehe 19 Mfunguo Tisa Jamadithani 1443 Hijria mwafaka tarehe 22 Januari 2022.
-
Ijumaa tarehe 21 Januari 2022
Jan 21, 2022 14:33Leo ni Ijumaa tarehe 18 Jamadithani 1443 Hijria sawa na Januari 21 mwaka 2022.
-
Jumanne tarehe 26 Oktoba mwaka 2021
Oct 25, 2021 22:59Leo ni Jumanne tarehe 19 Rabiul Awwal 1443 Hijria sawa na Oktoba 26 mwaka 2021.